Wangecheza na Sevila wangetia aibu nakwambia lazima wangeomba hela hata ya maji, timu inahuzuni kama gari za takaAyaaaaah,umekosea kuwaambia,wakijua hili hawatachukua kombe LA FA.Wameacha Fursa ya kucheza na Sevilla kwa kuhofia kucheza na Simba
simba angekuwa hajafanya muamalaVipi jkt wangefunga dakika ya 96
si yanga haoAiseee kuna watu walibana goli lisiingie sasa lilipoingia ushuzi umewatoka kama PANCHAAA [emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23]
kwel wamekataa fursa ya kucheza na sevila au ni utaniWanaweza kugoma
sikuiz. wanatuogopa ni aibu simba kutoa hata draw na yangaTeh!tuliwafunga kweli
Yani Yanga hawakumbuki mara ya mwisho wametufunga lini
Au kama wewe yanga hebu nikumbushe [emoji2][emoji847]
wakiongozwa na HAZARDTuachane nao jirani siku hzi wamekuwa pia waimbaji taarabu wazuri tu.
Naskia wamegoma since iliwabid wakutane na simba kwanzaWangecheza na Sevila wangetia aibu nakwambia lazima wangeomba hela hata ya maji, timu inahuzuni kama gari za taka
Ndicho Mnachokijua hicho nyie Ombaomba
Wakitoka droo na timu ya Simba SC, basi watashangilia mwezi mzima, na kuwadhihaki washabiki wa Simba SC hadi inakuwa kero.sikuiz. wanatuogopa ni aibu simba kutoa hata draw na yanga
pumbavu kipindi cha kwanza ziliongezwa dakika 2, cha pili 7 simba wanabebwa
hata kwa maelezo hayo bado hamjaelewapumbavu kipindi cha kwanza ziliongezwa dakika 2, cha pili 7 simba wanabebwa
Ebu mwambie shemeji awe anakuachia kidogo jamaniNimekuja Dada. Swalaama?
πππ acha tu dada. πββοΈπββοΈEbu mwambie shemeji awe anakuachia kidogo jamani
Nimekumiss ndugu yangu. Mzima?Ebu mwambie shemeji awe anakuachia kidogo jamani
Mm mzima jamani hunishindi mm nilivyokumiss dada akeeNimekumiss ndugu yangu. Mzima?
Hahahhaah[emoji85][emoji85][emoji85] acha tu dada. [emoji2089][emoji2089]
Nimefurahi kukuona Dada. Naona jana kuifunga Jkt Tanzania mnashangilia kama mmepata ubingwa wa Afrika.Mm mzima jamani hunishindi mm nilivyokumiss dada akee