barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
We jamaa unaboa sana.Woooiii hiyo hainiondoi kwenye reli ya furaha ya Simba kufungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa unaboa sana.Woooiii hiyo hainiondoi kwenye reli ya furaha ya Simba kufungwa
Eti hawa ndio watawakilisha taifa msimu ujao...hahaha pole yao[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani ni zaidi ya aibu aiseeee.
Mbele ya Mkulu lol.
mtani leo naona umefurahi sanaNaona wanajificha kwenye kivuli cha Yanga kufungwa na mwadui eti hata hainogi wangejua tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa. Zamu ya matisheti sasa.Nasikia kipindi cha Rais Mwinyi waliagiza kontena la kanga zimeandikwa Simba Bingwa Africa zikaishia kupigiwa deki
Sawa mkuu...mngekuwa mmeshinda usingeniambia hivyo najua...We jamaa unaboa sana.
Alafu kaseja kama alikomalia simba aliyochezea yeye ndio iwe pekee ya kutwaa bila kufungwa, anadaka mpira alafu anadai kaumia.Simba imeshawahi kuchukua ubingwa bila kufungwa... ila huu mambo yamegoma
Vp yanga ana rekod ya bila kupoteza?
Mawazo yako tuHahaaaa. Naweza amini aiseee sababi kikosi chao ni cha kawaida kabisa aiseee.
Haielezeki furaha..huku mtaani kumepooooza na ndio inavyotakiwa..mkishinda kelele nyingiiimtani leo naona umefurahi sana
Hahahaaa. Pole sana Mtani.Najaribu kusawazisha, vijana kwa kweli wameniboa. Yaani hata yanga ikifungwa sioni mwanya wa kuwatania.
Leo kichaa kapewa runguWasifungwe wao ni Nani..??? Embu wakafie mbali huko naona wanashangilia kombe hapa ila moyoni wanalia...mikeka imechanika tena wakikaa vibaya wataoga maji ya MAJIMAJI[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Hahahaaa. Ahsante sana Swahiba.Hahahaa pole yake
Karibu futari swahiba wangu
Hahahaa. Mtani wangu umejikaza weee lakini umeshindwa kunivumilia.Mawazo yako tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kweli niite kichaa tuLeo kichaa kapewa rungu
Ahsante sana swahibaHahahaaa. Ahsante sana Swahiba.
Nawe karibu bana.
Kweli mtani sikutegemea hili hahahahaha Hii ni Simba BwanaHahahaa. Mtani wangu umejikaza weee lakini umeshindwa kunivumilia.
Ila ni kweli bana. Kikosi chenu kilikuwa cha kawaida mnoooo.
Kwendaaaa hujawahi nikera kama leo hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kweli niite kichaa tu
Wakati wewe unapanic mimi ndio kwanza bundle la kucheka linaongezekaKwendaaaa hujawahi nikera kama leo hahahahaha
Simba iliyoleweshwa na wakata miwa ya kagera sukariKweli mtani sikutegemea hili hahahahaha Hii ni Simba Bwana
Ushaishiwa Kwanzaa lipa mishahara hahahhaaaWakati wewe unapanic mimi ndio kwanza bundle la kucheka linaongezeka
Pole mtani eee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]