Kutoka Uwanja wa Taifa: Kagera Sugar 1 - 0 Simba FC, Kagera watibua rekodi ya kutokufungwa ya Simba

Kutoka Uwanja wa Taifa: Kagera Sugar 1 - 0 Simba FC, Kagera watibua rekodi ya kutokufungwa ya Simba

inakera sana!
simba badala ya kuweka record ya kutokufungwa hadi mwisho, Leo karuhusu bao kufungwa NA kagera sugar!
Wameharibu raha yooote! bora wangefungwa tangu mwanzo tukajua moja; walichokifanya Leo hakika ni sawa NA kutunza bikira usichana wooote halafu unabakwa siku ya kwenda kufunga ndoa; hata ndoa yenyewe haina radha tena! simba mmezinguaaaaaaa!!!!!!!
Kabisa, niwe mkweli, hata sijisikii kusheherekea, najaribu ila nashindwa.
 
Domo chafu ana raha saiv, hata insta sijui kama atafungua
Hahahaa. Hawezi ingia huko sababu leo lazima aogelee matani tena yale mazito mazito.

Sina hakika kama ataweza kuftari. Teh
 
Timu kubwa hivo inakosa watu elfu 60 kuujaza uwanja kweli? Ama kweli mashabiki wa simba ni wa mitandaoni ty
 
Kagera wamefanya jambo jema sana. Nina amini Simba hiki kipigo kimewauma mno maana walitaka wamalize ligi kwa style ya pekee, mbele ya mtukufu Rais
 
Looh, nimebakiza moja kwa leo, Chelsea wanabeba FA.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom