Babanadia
Member
- May 15, 2018
- 23
- 28
Simba na rekodi zake kwa wakuu wa nchi;
1993
Wakicheza fainali ya CAF dhidi ya Stella Abdjan mbele ya mheshimiwa raisi wa Tanzania awamu ya pili mzee Mwinyi, Simba walifungwa 2-0.
2018
Simba wakicheza dhidi ya Kagera Sugar mbele ya raisi wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh. John Magufuli , Simba wametoka kichwa chini kwa kufungwa 1-0 .
1993
Wakicheza fainali ya CAF dhidi ya Stella Abdjan mbele ya mheshimiwa raisi wa Tanzania awamu ya pili mzee Mwinyi, Simba walifungwa 2-0.
2018
Simba wakicheza dhidi ya Kagera Sugar mbele ya raisi wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh. John Magufuli , Simba wametoka kichwa chini kwa kufungwa 1-0 .