Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Sijui tatizo nini mpaka sasa hatuwafungi...!!!
 
Tukitoa draw Jamal Malinzi atarudi JF kusifia uongozi wake kwamba unafanya mambo mazuri kulazimisha draw Vs Nigeria. Wabongo huwa tunaridhika na madogo tuyapatayo zaidi ya ku-aspire kwa makubwa na mazuri

Kweli kabisa tunaridhika na mambo madogo. Droo na Nigeria itakuwa kama tumeshinda vile. Hapa inatakiwa ushindi.
 
Tukitoa draw Jamal Malinzi atarudi JF kusifia uongozi wake kwamba unafanya mambo mazuri kulazimisha draw Vs Nigeria. Wabongo huwa tunaridhika na madogo tuyapatayo zaidi ya ku-aspire kwa makubwa na mazuri

Ndio maana mastar wanaogopa sana kujiunga JF kama verified users.
Huku watu wachokozi sijapata kuona!
 
TBC Ni nani huyo mmemuweka atangaze huu mpira Aibu
 
Inawezekana kabisa Wachezaji wetu wa Taifa Stars huwa hawaelewi mafundisho ya makocha wa kigeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…