Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Atleast ingekuwa ni game ya kushinda sawa. Gemu lenyewe tushapoteza nje ya uwanja then viingilio wanaweka vikubwa. Hawajielewi hawa TifuTifu

kufungwa tufungwe,... hata pesa tukose?? ...ndo waliangalia hapo.
 

inamaana mechi zote tulizocheza nao tumechezea home ground???
 

leo taifa stars inaaza rekodi mpya ya kumfunga Nigeria.
 
Taifa star washindwe wenyewe kwaani Nigeria ina timu ya kawaida sana
 
Mechi ngumu haitabiriki ila mimi naona kama asiposhinda taifa stars au nigeria basi ni droo
 
Sioni kama stars itachomoka Leo.
 
Ukija Tanzania,
Na ukaambiwa ucheze na Taifa stars,
Utafungwa tu.
Na mimi nasema ufungwe tu, Maana hamna nmna nyingine. Tumechoka sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…