Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia peleka vyuoni, uwanjani ubabe wa timu huonekana baada ya dakika 90.
Taifa Stars 3-1 Nigeria
Naipenda Nchi yangu Lakin hatuna ubavu wa kuifunga Wanaija hao... kila la kheri T-stars ye2!
ok can you write English? Thanks
Historia peleka vyuoni, uwanjani ubabe wa timu huonekana baada ya dakika 90.
Taifa Stars 3-1 Nigeria
TFF hivyo viingilio vya mpirani kati ya taifa stars vs nigeria nendeni mkaangalie wenyewe
ss3 TBC1 Bein Sport menaTv station gani itaonyesha hio game?
dah! nimeota eti tumepigwa 2-1,sijui nikwel mungu aepushe mbali,,,,,stars tupen raha ya ushindi leo
Hapa ndipo wa tz huwa tunadanganyana, hivi kweli tz tumfunge Nigeria eti kwakuwa tu tumempa kocha mzalendo timu?!!!! tunachekesha kweli. tuwe wakweli tu hatuna uwezo huo kwa sasa.
Taifa stars 0 Nigeria 26. Super eagles piga hao mapimbi wakacheze kidali poo na Malinzi
utakuwa ule msako ulikukosa, yaani huna huruma hata kidogo na TZ.