Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Usijali mwaya wacha tuongeze umri hapa kwa vicheko. Maana kuna post zinachekesha mbaya.[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nipoooo!!lakini ngoja nshabikie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali mwaya wacha tuongeze umri hapa kwa vicheko. Maana kuna post zinachekesha mbaya.[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nipoooo!!lakini ngoja nshabikie
Yaani kesho siku itakuwa ndefu.
Afu wamekazaaaaaaaaWakati wachezaji wa Sevilla wanacheza kujifurahisha wachezaji wa mikia wamekaza utafikiri wanagombea kombe la dunia!
Wakati wachezaji wa Sevilla wanacheza kujifurahisha wachezaji wa mikia wamekaza utafikiri wanagombea kombe la dunia!
Kesho Heineken zinakuhusuPoa shemela jamani nimekumiss mm
Yah! Tena ntaandika gazeti Mtani.Ulisema hongera ya ubingwa utatoa leo.
Tunaisubiri.
Wakati wachezaji wa Sevilla wanacheza kujifurahisha wachezaji wa mikia wamekaza utafikiri wanagombea kombe la dunia!
Afu wamekazaaaaaaaa
Lazima, si walisahau kilichowaleta bhana.[emoji23][emoji23]Ila still wanakimbizwa
Braza, jiangalie mshua OS hatakuelewa.Wakati wachezaji wa Sevilla wanacheza kujifurahisha wachezaji wa mikia wamekaza utafikiri wanagombea kombe la dunia!
Ulikuwa mtego ule [emoji3][emoji3][emoji3]Sevilla zile ngoma na yale mauno waliokatiwa na wanadada wa TZ yamewaponza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oya, fuata mambo yako.Na ww ulikua unawakatia??
Wouzeeer wouzeerr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]haters watasema na sevilla tumewahongaBocccooooooooooo!!!
Tufanye ndiyo ,je inaondoa wao kuitwa Sevilla???Sevilla wamepanga kikosi cha tatu,timu C!