Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Hata friend match wanaroga, hawana dogo wazee wa mbeleko, wamepigwa tano kama kawaida yao. Vita 5, Al Ahly 5,Sevila 5.
LIGI kuu holaaa
FA holaaa
SportPesa holaaa
Mapinduzi cup holaaa..
Yanga mnaweza nini nyie chura wa topeni.. Kila bwana wenu sasa hv.
 
Nimegundua Yesu ni mzungu ,shetani ni mwafrika.
Yanga kazi mnayo!
 
Unamegwa mkusti fala wewe kiamba mkumba mkubwa wewe
Naona mimba inakusumbua mama Chanja
Ebu lamba ndimu, kunywa maji, halafu pumzika kwenye kivuli usiharibu mimba yng nimekupiga Vitano ujue Sio mchezo
Hali ukiwa mbaya Sana Mama Chanja lamba lolo
 
Naona mimba inakusumbua mama Chanja
Ebu lamba ndimu, kunywa maji, halafu pumzika kwenye kivuli usiharibu mimba yng nimekupiga Vitano ujue Sio mchezo
Hali ukiwa mbaya Sana Mama Chanja lamba lolo
kyuuma kinoko, Lushindo lwa noko mamaee
 
kyuuma kinoko, Lushindo lwa noko mamaee
Sishangai Sana Ndiyo tabia ya mimba changa mama Chanja Ucjal Mke wangu ni hali ya Kawaida itaisha tuu vumilia
Au nikutumie ticket ya kuja Denmark mpenz
Hongera Bby uliweza kuvumilia Vitano wengine hawawez kabsaa
Maumivu yakizidi lamba ndimu mpenz
 
Bora kama hukwenda estadio de mkapa..!

Nimeenda nimetoka nimemind though tumejitahidi.
sio tumejitahidi, sema tumecheza mpira mwingi na tumewatoboa goli nne
aliyetuangusha ni refa alieongeza dk 5 hakua na nia nzuri na simba, achana na vyura fc ambao ata hawajaangalia mpira wameuskiliza redion

YANGA SUBIRINI NDONDO CUP INAANZA MKASHIRIKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…