Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mechi ya kirafiki chini ya udhamini wa Sportpesa Kati Simba na Sevilla ya Uhispania inatarajiwa kuanza saa moja usiku.
Ikumbuke Simba haijawahi kufungwa uwanja wa Taifa mechi yoyote ya kimataifa
Simba wameshatangaza full mziki ya kikosi kinachoanza
Update zote utazipata hapahapa
Kikosi Cha Simba Leo
60969231_1308394812641602_6008138014167924736_n.jpeg
 
Back
Top Bottom