KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
nahisi inafanana na chunus but chunus inaweza kuwa had sehem za siri msaada plz uelewa wangu ni mdogo
kapime HIV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi inafanana na chunus but chunus inaweza kuwa had sehem za siri msaada plz uelewa wangu ni mdogo
wana JF nisaidieni ...nilikuwa nappuuzia nilipo gundua kwenye ume wangu kuna vpele vigumu vdogo ambavyo nikivikamua vinatoa kama viitu vyeupe...... nini hiki jamani naombeni ushauri /ni ugonjwa gani huo? nnaweza kupona kabla ya kumuona daktar????
huwa vinatokea kichwani au kwenye kiwiliwili/?
Ngoja niwaite. Wapiga nyeto mnaitwa huku.
Duh...mpaka vipele!
ita kwa majina kama ujalala macho wazi kwa mabango
du kumbe huwa kuna ota vipele!
aim haikua kutoa dawa ila kuelezea hizo njia mbili za nyeto..
Hahaha.. Nna ID moja tu, nkiwataja ntapigwa ban.