Teh Teh..UKAWA wanapigwa dongo ana waambia jamaa wana uongozi wa kifalme hasa Chadema ....
demokrasia au kiini macho?? Maana wenye chama tayari wana mtu wao
NimehuzunishWa sana na huyu membe sikutegemea bora mako mara 10000 licha siwezi mpa kura
Ipo wapi mtani??