Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaijenga akiwa kitandani?Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya
Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika
Ni bora ale pensheni bila kelele amwache Mzalendo Magufuli aijenge Nchi
Na nani atakuwa mgombea wenu kwasababu jamaa yupo kitandaniMleta mada anampenda Membe mpaka anajikojolea!
Usijali mtaletewa awe mgombea wenu hapo ufipa 2020
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya
Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika
Ni bora ale pensheni bila kelele amwache Mzalendo Magufuli aijenge Nchi
Hajawahi kua smart,badala aseme akiwa rais atafanya nini eti anaongelea maadui watakaokimbia nchi.Membe alisikika akisema,
GONGA LINK>>Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!
Aisee akagombee huko huko CCM au ACT,huku CDM Lissu anatosha sana na hata asipogombea yeye bora hata wakina heche wagombee ila kapi la Ccm hatulitaki.Mleta mada anampenda Membe mpaka anajikojolea!
Usijali mtaletewa awe mgombea wenu hapo ufipa 2020
Na nani atakuwa mgombea wenu kwasababu jamaa yupo kitandani
Kama vile tupu zenu zilivyobaki wazi baada ya jaribio la kumuua Lissu kushindwaKile kiwanda chenu cha kupika majungu na upotoshaji kimebaki uchi sasa, tupu zenu zipo nje
Mtaendelea kunyooshwa
Hilo linafsnywa siri kubwaNa nani atakuwa mgombea wenu kwasababu jamaa yupo kitandani
Major flaw!!! Kosa kubwa la kiufundi. Anakiri vyeo vinanunulika...na hatoi way forward kudhibiti hili.- Kiongozi unajisikia raha gani kuingia Ikulu kwa kununua Urais,tununue vyeo vingine lakini sio Ikulu.Ikulu hainunuliki.
Kosa la pili...kama hakuna ufafanuzi.!1.Rushwa: Anayetoa rushwa ana makosa na anayepokea ana makosa, tutakibadilisha hiki kifungu na kumbana yule Anayepokea,aliyeomba
Okay...ulikuwa msimu wa mavuno kwa wasanii- Sasa hivi ameingia Peter Mshechu kuburudisha, Amebadilisha mashairi ya wimbo wa "NYOTA ING'ARE"
Imshtaki tuMembe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya
Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika
Ni bora atulie tu ale pensheni bila kelele amwache Mzalendo Magufuli aijenge Nchi