Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

hamuwezi zuia mafuriko kwa mkono..
TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:
Lowassa sasa embu waache wapinzani wako watulie,utawauwa kwa presha.Stiki unazo wapiga hawatakaa wakusahau.kila mahali mafuriko tu
 
Bakari Cecilia Membe amefunga Ramadhani au bado anauficha Uislamu wake?
 
Kiongozi yeyote anayetegemea Mzimu kumuongoza ili kuongoza watu badala ya Mungu aliyemuumba basi hatufai hata chembe,aende akaongoze familia yake kwa huo mzimu
 
Kuliko Membe kuwa Rais bora yule Mkulima wa Kasulu aingie Magogoni....

Watanzania wengi ni wajinga sana na hawana akili timamu, Membe huyu ambaye hata kujieleza hawezi achilia mbali kujenga hoja za maana ndiye awe Rais wa Tanzania?

Ama kweli, Akili za hao mashabiki wake ni akili za mizimu.
 
Membe hajielewi tena, anasubiri JK ambebe kwenye CC ya CCM
 
Kuliko Membe kuwa Rais bora yule Mkulima wa Kasulu aingie Magogoni....

Watanzania wengi ni wajinga sana na hawana akili timamu, Membe huyu ambaye hata kujieleza hawezi achilia mbali kujenga hoja za maana ndiye awe Rais wa Tanzania?

Ama kweli, Akili za hao mashabiki wake ni akili za mizimu.
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Haya mawe mnayoyaelekeza kwa Membe huwenda yakambeba.
 
hahaha hakuna kuchezea mafuriko, watu wanajichanganya tena hapo ndan ya chama kimoja, huko nje je si hatari tupu,,,
 
Acheni majungu ya kuhusisha majina ya watu na wagombea urais, mama wa watu na mbunfe mwenye kasi wa jimbo la chlnz wana husikaje acheni majungu mimi nafikir wakati umefika sheria mpya ya mawasiliano ianze kutumika kuwafunza adabu, acheni kuchafua watu waadirifu kama huyo mgombea.
 
Nchi ya wasanii....kazungukwa na wasanii ili aongoze kisanii
 
lowasa oyeee.lazima wakae.lowosa ni ngome ya jerusalem
 
Back
Top Bottom