Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Haya mawe mnayoyaelekeza kwa Membe huwenda yakambeba.Kuliko Membe kuwa Rais bora yule Mkulima wa Kasulu aingie Magogoni....
Watanzania wengi ni wajinga sana na hawana akili timamu, Membe huyu ambaye hata kujieleza hawezi achilia mbali kujenga hoja za maana ndiye awe Rais wa Tanzania?
Ama kweli, Akili za hao mashabiki wake ni akili za mizimu.
Tehe tehe tehe haya sasa team Lowassa vs team Membe.kazi kweli.Team Abdallah nyie mnachojali ni hela,afya ya Abdala hamna time nayo
KumbeWakati Yeye Akijianda Kucheza Hizo Mechi Zake Tatu Ulizomtajia Hapo Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo Kaisha Maliza Ligi Nzima Na Ndiyo Rais.