Kutokana na hamahama hii, Mbowe azomewe?

Cheap politicians are easily bought and confused
 
Baada ya October 28 ndiyo tutajua azomewe au asizomewe
 
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
 
Mbowe anasubiri nini? Chama kometoka wabunge 200 hadi kubaki mmoja!
 
Tundu Lisu ameamua kumvaa mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…