Kutokana na kazi ninayofanya, nimejua kwanini ndoa zamani zilikua zinadumu

Kutokana na kazi ninayofanya, nimejua kwanini ndoa zamani zilikua zinadumu

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Nimetokea kuichukia / kuichoka kazi ninayofanya, mainly kwa sababu ya mipango yangu ya baadae pia mazingira na mfumo wa kazi, Kila nikipanga escape route inafeli hivyo nawajibika kuendelea coz siwezi nyanyua mguu mmoja kabla mwingine haujagusa chini. Hii imenifanya nifikirie maisha ya ndoa za bibi zetu.

Ameolewa akiwa hana shughuli nyingine zaidi ya za nyumbani, hana ndugu wala shost mjini kwenda kutafuta maisha, nyumbani kwa wazazi ameambiwa asirudi, anatakiwa avumilie maana ndoa ni uvumilivu. Hivyo hama mbadala zaidi ya kuvumilia.

Hawa wa sasa. Anakazi, anaelimu na pengine kipato akamzidi mume, anaweza kumudu mahitaji yake ya msingi na mtoto, sex anaweza kupata pale akihitaji.

Inapofikia wakati kazi ya mwanaume ni kuzalisha tu ambayo nayo sasa wanaenda pandikiza maabala, then ni ngumu mtu kuvumilia magumu, haiba na malezi yake ndo itaamua, ni ngumu kuvumilia magumu hali ya kua kuna mbadala.

Kifupi tu
"Mtu asie na mbadala ni mtumwa wa anachokitumikia" " a man with no option is a slave to a circumstance" Gonzalez lira ( CRP)

Escape plan yangu ikitiki nitawajuza
 
Zamani walikuwa hawana house girl Kazi zote alifanya mke, leo houegirl ndie anafanya KILA kitu hadi kutandika kitanda cha mume hadi kufua chupi, mke ni kuchati tu na kuangalia tamthilia kule kwenye tamthilia wanafundishwa upumbavu tu zaidi ya matusi, ukosefu wa heshima,maisha ya bata Hakuna maadili yeyeto zaidi ya kuonyeshwa jinsi ya kuwa single mothers na kumiliki vi ben 10. wapo idle wanapata Sana mda wa kuwaza ujinga. Hii upelekea viburi, dharau, na ujinga kibao waliopaste kwenye haya matamthilia.
 
Wote wanafanana hata ukivuta mchepuko mwisho utaona bora ya aliyekuwepo, huwezi yakimbia matatizo jifunze jinsi ya kuishi na matatizo bila kukuathiri, mengine ni kuyapotezea tu. Zipo principal za kuishi nao hawa wakati mwingine ishi nao kama mtoto ukishindwa tafuta malaika uoe.
 
Achana na ndoa ,piga kazi tafuta hela ndiyo muhimu.
 
Back
Top Bottom