Kutokana na matamshi yake, Prof. Kabudi ataondolewa Wizara ya Mambo ya Nje kama ilivyokuwa kwa Mkurugenzi wa SSRA kutokana na issue ya Kikokotoo

Mkuu, upo sahihi! Nakumbuka yule naibu wa Wizara ya Afya, (Ndugulile) alipojidai kuleta taaluma yake kwenye suala la korona, akamfurusha!
 
Haya matusi tungeyaweka kwanza mpaka pale tutakapokuwa tayari Wananchi wetu wote wana maji safi na salama, nyumba bora, vyumba vya madarasa sambamba na elimu bora, huduma za afya zinazofikika na kila raia n.k.

Baada ya hapo ndio tuanze kuwaporomoshea tukiwatumia Watu wenye uwezo na vipaji hivyo kama huyo Prof.
 
Uchaguzi unakuja upya kabla ya 2025 kwani laana ya wapiga kura itaanza kufanya kazi kuanzia miezi 6 mpaka mwaka na ikishika vizuri lazima uchaguzi ururidiwe upya pasipo uchakachuaji wa CCM
 
Uwezo pekee wa akili waliotuzidi hao mabeberu ni kwamba wametushinda sisi katika kukushawishi wewe kwamba wana uwezo mkubwa wa kukuhadaa kwamba wewe una akili ndogo kuliko wao. Ukinielewa nitag, pls!
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu wizi ufisadi wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Uchaguzi unakuja upya kabla ya 2025 kwani laana ya wapiga kura itaanza kufanya kazi kuanzia miezi 6 mpaka mwaka na ikishika vizuri lazima uchaguzi ururidiwe upya pasipo uchakachuaji wa CCM
Kwa hiyo maandamano yasiyo na ukomo "mmeyakoli offu"??? Thanks for choosing the path of peace once more. Nadhani mnakoelekea sasa ni katika hatua za awali za uzalendo halisi!
 
Uchaguzi unakuja upya kabla ya 2025 kwani laana ya wapiga kura itaanza kufanya kazi kuanzia miezi 6 mpaka mwaka na ikishika vizuri lazima uchaguzi ururidiwe upya pasipo uchakachuaji wa CCM
Kurudiwa jamani ni ndoto kabla ya 2025 hata km ikitokea nini wapo watakaorithi lkn ICC haina ubavu
pia hawa wajumbe wapiga kura mnawajua? wengi wamejificha kwenye mitumba, mama lishe, wapiga debe, wafanyakazi wote, include masoldier, sasa njoo wanamtandao na wapiga kelele hawafiki 1% na hata ukiwaambia tokeni barabarani ni vitisho tu bora haka Mange Kimambi peke yake alitingisha.
Tulishaelezana hapa Watanzania hawaujui Uchaguzi wanafikiri ni mabox KURA NI KUHESABU NA KULINDA
 
Mbona unajibu out if context inaonyesha una arrogance behavior, na hyo picha ya mzee wa watu inahusikaje sasa na huu Uzi, cdu si chama tu Cha ugermany Kama kilivo ccm, au Chauma so sioni jipya, kulinganisha na mada inayohusu EU hapa
Ila kabudi hyo wizara imemshinda uwezo na akili kulikuwa Kuna haja gani kuwaita hao wabunge wa EU wapuuzi wakati EU michango yake kwa taifa ni muhimu, ni Bora hyo wizara ingempata January Makamba naona anafaa ana exposure flani hivi
Huu si ndiyo mchango wako wa mada iliyotolewa? Nimi nimekujibu accordingly. Sasa inakuwaje mimi niko out of the context? Ukifuatilia mazungumzo ya hiyo kamati ya Bunge lako tukufu la Ulaya utaona mchangiajia hoja mmoja wapo mkubwa kwenye huo mjadala wa hiyo kamati alikuwa Penner mmoja wa kutoka chama cha CDU cha ujerumani na yeye wewe ndiyo unamwona amechangia hoja ya maana sana kiasi kwamba matamshi ya waziri wako wa mambo ya nchi za nje unamwona ameshindwa kazi yake.

Na ndiyo maana nimekuuliza kama umesha mwona huyo mchangiaji wa hoja wa kutoka hicho chama cha CDU cha ujerumani anavyo onekana? Kwa watu walio au wanaoishi ujerumani na kuwajua wajerumani walivyo, appearance ya huyu politician inaonyesha moja kwa moja kuwa ni Penner.

Kama huwajui wajerumani walivyo ningekushauri ukae kimya kwani unadandia mabasi ambayo hayakupeleki unakotaka kwenda. Hii itakuwa ngumu sana kwako ku argue na watu wenye kuwajua hao wahuni.

Na ndiyo maana nika kuambia kuwa huyu ni Penner, kwani hata kupiga meno mswaki hajui na mtu yuko Ulaya.

Lakini kwa mkoma kama wewe unaona sawa maadam ni mzungu. Nyie ni washamba sana na malimbukeni wa wazungu.
 
Kwa hiyo maandamano yasiyo na ukomo "mmeyakoli offu"??? Thanks for choosing the path of peace once more. Nadhani mnakoelekea sasa ni katika hatua za awali za uzalendo halisi!
waongo wanamageuzi na wakereketwa
ni Mange Kimambi tu ndiye aliyewahi itisha maandamano
safari hii wamewawahi waaandamanaji, ambao ni wamachinga, wamewapa biashara bila kodi wala leseni
 
Kwa hiyo maandamano yasiyo na ukomo "mmeyakoli offu"??? Thanks for choosing the path of peace once more. Nadhani mnakoelekea sasa ni katika hatua za awali za uzalendo halisi!
waongo wanamageuzi na wakereketwa
ni Mange Kimambi tu ndiye aliyewahi itisha maandamano
safari hii wamewawahi waaandamanaji, ambao ni wamachinga, wamewapa biashara bila kodi wala leseni
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu wizi ufisadi wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
Hapana. Mabeberu ndio wakiona nchi yetu inakubali tu kuonewa, kukandamizwa, kubagazwa, kudharauliwa, rasilimali zetu kusombwa ughaibuni na kuhonyolewa hovyo, vibaraka wao kushika hatamu za uongozi kwa maslahi yao, wakati tukiwanyenyekea na kuwalamba migongo, wanatusifu sana wakidai eti tumekomaa katika diplomasia ya kimataifa, demokrasia & utawala bora; ila tukiwa responsible na rasilimali zetu na kuchakata maendeleo na ustawi wetu sisi wenyewe bila kuwategemea wao, watatupachika lakabu nyingi za uzushi pamoja na kutusakama na kujaribu kutuwekea vikwazo vya kiuchumi. Hatutakubali this time!
 
waongo wanamageuzi na wakereketwa
ni Mange Kimambi tu ndiye aliyewahi itisha maandamano
safari hii wamewawahi waaandamanaji, ambao ni wamachinga, wamewapa biashara bila kodi wala leseni
Sikuelewi, kwa sababu maandamano yamebuma kwa vile raia wameona hamna mashiko, vinginevyo yasingezuilika. Mkubaligi kushindwa basi, siyo ugonjwa, sawa???
 
Diplomacy huwa ni lugha inayotumika pale tu wanapoona hakuna alternative ya coercion ama hakuna sababu kubwa ya kushurutisha. Kwa maneno mengine, diplomatic language is just diplomacy. Period! Ndiyo maana walipotuvunjia diplomancy, nasi tumelazimika kuwajibu in kind. Vinginevyo tungetafsirika kipolitikia kama koloni na wahanga wa EU. Kuwa na viongozi sampuli ya JPM & Kabudi wenye sera za "no nonsense" ni ufahari sana! Kenya walijaribu kugusa waya wa umeme, hatimaye wakaishia kuomba radhi mara mbilimbili.
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu wizi ufisadi wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
Na wewe je ni kodoo jike? Wewe vipi? Mbona hueleweki?
 
Umepitia literature vizuri kujua kwanini Baba waTaifa aling'atuka mapema? Mi nilikuwepo na mambo yalianza hivi hivi. Self seclusion haina nafasi duniani. Kitu kizuri ni kwamba wazungu wanatuchukulia poa tu kwamba waafrika hatujui tulitendalo
 
Umepitia literature vizuri kujua kwanini Baba waTaifa aling'atuka mapema? Mi nilikuwepo na mambo yalianza hivi hivi. Self seclusion haina nafasi duniani. Kitu kizuri ni kwamba wazungu wanatuchukulia poa tu kwamba waafrika hatujui tulitendalo
Wewe umesoma historia kujua kwa nini kisiwa kidogo cha Kyuba kiliamua kusimama kidete dhidi ya hyperpower kama Marekani na kukataa kabisa kusalimisha uhuru wake???
 
Amewaita bunge la EU watu wahuni wachache., natamani hii kauli waipate wale mabeberu wanaoenda wakipigiwa magoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…