GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama vile naona Uwanja utafurika Maji. Mvua hii Kubwa ya Dar es Salaam Kitapigika kweli leo kwa Mkapa Azam na Yanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandiko wa darasa la sita B huuLazima yanga apigwe hakuna namna zege hai lali
Una uhakika Kitapigika leo kwa Mkapa?Mvua ina-dilute uchawi, baadae inakata
Kwaiyo Mvua ikinyesha kwenu Bagamoyo na Taifa inanyesha bossKama vile naona Uwanja utafurika Maji.
Kuuliza Siku hizi imekuwa ni Kosa la Jinai kwa Sheria za Tanzania Bara na Tanzania Visiwani?Kwaiyo Mvua ikinyesha kwenu bagamoyo na Taifa inanyesha boss
Pole sana kichapo kipo pale pale
Hamna boss nipo Taifa hapa hakuna mvua kabisaKuuliza Siku hizi imekuwa ni Kosa la Jinai kwa Sheria za Tanzania Bara na Tanzania Visiwani?
Kama ni kweli nakushukuru kwa hii update yako Kiongozi. Tuko pamoja sana tu.Hamna boss nipo taifa hapa hakuna mvua kabisa
Hivi gongowazi leo wanatinga uzi gani? Maana naona Christmas imewainamia wao tu.Kama ni kweli nakushukuru kwa hii update yako Kiongozi. Tuko pamoja sana tu.
Yanga SC leo Wanavalia Jezi Nyeusi.Hivi gongowazi leo wanatinga uzi gani? Maana naona Christmas imewainamia wao tu.
Wana msiba 😂Yanga SC leo Wanavalia Jezi Nyeusi.
Huku Mbezi Beach na Mbezi juu tangu asubuhi inamwagika tu kama enzi za NuhuMvua za dar zinanyesha kimchongo mchongo ,baadhi ya maeneo ya wilaya ya kinondoni kuna mvua ila wilaya ya TMK sehemu kubwa mvua hakuna.
Usipasahau na Kawe pia inanyesha.Huku Mbezi Beach na Mbezi juu tangu asubuhi inamwagika tu kama enzi za Nuhu