Kutokana na sakata linaloendela Simba Sports Club! Naomba mwenye nakala za Katiba ya Simba na Young African tuzipate.

Kutokana na sakata linaloendela Simba Sports Club! Naomba mwenye nakala za Katiba ya Simba na Young African tuzipate.

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Binafsi naomba ku declare kuwa mimi mtoa post ni mshabiki wa Young Afican! Lakini kutokana na masuala yanaoyoendelea Simba nimejiuliza sana maswali ambayo kila ninapotaka jibu naona naweza lipata kupitia Katiba yao ya Simba, nikaona ni vyema nije kwa wadau wenxzangu wa michezo kuomba Katiba za hivi vilabu viwli ili niweze kujifunza zaidi ata pale mambo yatakapo geuka kwa upande wa YANGA.

Kuna mambo yanavyoendeshwa katika vilabu vyetu kama vile havina wasomi kabisa wakati SImba na Yanga zina utajiri wa rasimali watu wa kada! yaani wachumi, wanasheria etc!

Nimejikuta nawaza kumbe haya mambo sio Serikalini tu kumbe ata huku kwingine danadana zipo pia!
Waungwana akikubwa naombeni nakala za Katiba za hivi vilabu viwili niweze kujifunza zaidi na kwa mapana yake.
 
Binafsi naomba ku declare kuwa mimi mtoa post ni mshabiki wa Young Afican! Lakini kutokana na masuala yanaoyoendelea Simba nimejiuliza sana maswali ambayo kila ninapotaka jibu naona naweza lipata kupitia Katiba yao ya Simba, nikaona ni vyema nije kwa wadau wenxzangu wa michezo kuomba Katiba za hivi vilabu viwli ili niweze kujifunza zaidi ata pale mambo yatakapo geuka kwa upande wa YANGA.

Kuna mambo yanavyoendeshwa katika vilabu vyetu kama vile havina wasomi kabisa wakati SImba na Yanga zina utajiri wa rasimali watu wa kada! yaani wachumi, wanasheria etc!

Nimejikuta nawaza kumbe haya mambo sio Serikalini tu kumbe ata huku kwingine danadana zipo pia!
Waungwana akikubwa naombeni nakala za Katiba za hivi vilabu viwili niweze kujifunza zaidi na kwa mapana yake.
Nasubiri na Mimi.
 
Kuwa mwanachama ili upate haki za kuhoji baadhi ya masuala.
 
Nadhani kwa sasa Katiba ya simba ni muhimu zaidi kuiona kuliko hata ile ya Yanga. Na hasa katika kipengele cha namna Mwenyekiti anavyopatikana, na pia namna ya kumuondoa huyo Mwenyekiti kwenye hiyo nafasi yake.
 
Back
Top Bottom