Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK"🙊
UNAKULA MAHARAGE YAKO UNAANZA KUJAMBA JAMBA OVYO OVYO
 
CHADEMA inaweza kumiliki MAGENGE YA KIHALIFU nakupatiwa baraka na hii serikali ya KIDHALIMU YA CCM huku Rais wa nchi akiita ni DRAMA tu?
 
Kibao alijiteka akajishusha kwenye basi akajipeleka ununio akajiua akajitupa
 
Tulipokuwa watoto tulikuwa wa mchezo. Mmoja anasema nyoka yuko Tanga. Wenzake wanasema naapite. Inaendelea yupo Muheza, Msata, Chalinze hadi anafika tulipo. Hapo tunashituka na kuanza kukimbia.
Yanayofanana na haya yashatokea. Hatushituki mpaka yanapogusa watu wetu wa karibu.
 
Kwa majibu wa mashuhuda wakati anatekwa Mzee Kibao juzi watekaji walikuwa na pingu pamoja na bunduki ambazo hata polisi wenu hawaruhusiwi kuzigusa. Je,hao ni CHADEMA?
Sativa alipotekwa alipelekwe kwenye karakana ya kituo Cha polisi kabla ya kutupwa msituni huko katavi na polisi hawajakanusha maelezo hayo Hadi Sasa. Je, alipelekwa pale kituoni na CHADEMA?
Punguwani wa Kagera aliyesema eti tukiwapoteza Hawa wanaomsema malaika mkuu polisi msiwatafute? Je,huyo ni CHADEMA?
Yule DC wa Longido ni mwanachama wa CHADEMA?
Makalalio KAZI yake siyo kufikiri kama unavyotumia wewe.
 
UNGEACHA KUANDIKA HAYA MAMBO....UNAANDIKA MPAKA UNAPITILIZA..
MPAKA ASIEJUA SASA NAE ANAJUA .....

Achia mambo ya jinai polisi..
 
Kuna taarifa kuwa mipango ya mauaji ya ally kibao imesukwa ndani ya CHADEMA baada ya kujua mzee huyo ni mwanajeshi mstaafu.

Inasemekana ndani ya CHADEMA mpango huo ulikuwa wa siku nyingi na walimuita aende Tanga kwa kazi ya chama kumbe ndio walikuwa wanamsuka auawe.

Kumbuka mauaji yanayopangwa na CHADEMA kwa nyakati hizi kuelekea uchaguzi ni kuzua taharuki jambo ambalo haliwezekani na jeshi la Polisi linabidi kuingilia kati kuichunguza CHADEMA .

CHADEMA ni shida sana wanauana kwa uchu wa madaraka na kusigana ndani kwa ndani, hadi uchaguzi uishe wataumizana sana!
 

Attachments

  • IMG-20240908-WA0004.jpg
    67.6 KB · Views: 3
Hvi wew ni binadamu wa aina gani?
Au ndio unahusika na maswala ya utekaji ili uje kuandika upuuzi?
Binadamu wanapotea hauna hata chembe ya huruma!
Si bure kuna namna.
 
kwanini uhalifu huu na utekaji unafanyika kipindi cha uchaguzi wa chadema tu?

na kwanini matukio haya yanazidi kua mabaya zaidi ukingoni mwa uchaguzi huo muhimu hasa nafasi za juu?
 
Hata kama ni uhuru wa mawazo
Wewe umewaza uharo mwingi sana.
Ni useless thread.
 
Hvi wew ni binadamu wa aina gani?
Au ndio unahusika na maswala ya utekaji ili uje kuandika upuuzi?
Binadamu wanapotea hauna hata chembe ya huruma!
Si bure kuna namna.
ndiyo maana napendekeza uchunguzi wa kina ufanyike kwa ndan ya chadema, gentlrman
 
Akili yako imejikita upande mmoja kama nyengo. Imelala yooo. Yani kwasababu alikuwa CDM basi CDM ndiyo ichunguzwe, then? Kwahiyo akili yako inakwambia CDM ndo kuna joto la uchaguzi sana kuliko ACT au CCM? Mbona huko hatusikii wakitekwa au akili yako huko haiuhusiki! Tukiwatukana mnaanza kulalamika tumewaonea.

Lissu, Sugu na watu wengine wakitekwa kwa zaidi ya ck mbili bila kujua wapo wapi, vip na hilo n joto la uchaguzi ndani ya CDM? Bado una cha kujitetea tukisema ww n kichaa mtumia simu????
 
Polisi wako wapi kuchunguza mashaka yako? Yaani chadema wanawazidi polisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…