Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ni ushirikina kua na imani na mja wa Mungu, actually ni kufuru..

ni muhimu zaidi kutokua na hata chembe ya shaka na Baraka na Neema za Mungu anazokujaalia kila uchwao..

na zaidi sana,
kuelekea kwa Muumba, kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewa, hakuna miujiza pale gentleman 🤣
Wewe sasa nakuchukulia kivingine kabisa kuliko nilivyo kuchukulia hadi hapa tulipo fikia.
 
Uchaguzi wa Mwenyekiti taifa ni lini umalizike haraka

Sumaye uchaguzi wa Mwenyekiti taifa ulipokaribia alitaka kuchukua form kugombea Mbowe akasema sumu haionjwi kumtishia Sumaye
CHADEMA malizeni chaguzi zenu za ndani haraka nchi ipumue na hayo mambo yenu
 
Kuna watu wana uwezo mdogo wa kufikiri utadhani IQ yao na kuku zinalingana, mtu mzima na akili timamu unaweza kuandika kitu kama hiki?
NDIO UNAWEZA KUANDIKA. KWANI KAMA AKILI ZAKO ZIKIWA UNATEGEMEA UTAANDIKA KITU GANI CHA MAANA. MTU ANAYEANDIKA KITU KAMA HIKI AKILI ZIPO ZIPO WAPI HIVI?
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Naunga mkono hoja vyama vya siasa vijichunguze adui yupo ndani yao
 
Ni kweli kabisa.Chadema na Landcruiser mbili,bunduki na pingu saa kumi na mbili jioni.Kweli Chadema walichobakisha ni kuteka Ikulu
elezea vizuri kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau 🐒
 
ni ushirikina kua na imani na mja wa Mungu, actually ni kufuru..

ni muhimu zaidi kutokua na hata chembe ya shaka na Baraka na Neema za Mungu anazokujaalia kila uchwao..

na zaidi sana,
kuelekea kwa Muumba, kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewa, hakuna miujiza pale gentleman 🤣
Wewe nimemalizana nawe; sina tena cha kukueleza zaidi ya niliyo kwisha kueleza toka uingie humu.
Tusubiri tu huyo "Mungu" wako akupe rehema.
Sitahangaika tena na wewe.
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Comments reserved
 
Wewe sasa nakuchukulia kivingine kabisa kuliko nilivyo kuchukulia hadi hapa tulipo fikia.
infact,
mimi sijifichi hata ukiomba appointment tuonane macho kwa macho, but next year coz schedule yangu for this year is full..

actually,
sitaki mtu yeyote anichukulie kwamba I'm so special than special itself, No mimi si wa hivyo,

Yes,
ni mwanadiplomasia mwandamizi wa kisiasa but pia ni mtu wa kawaida tu we can share ideas and a cup of coffee na maisha ikasonga,

ama ulitaka kusema nini gentleman?🐒
 
infact,
mimi sijifichi hata ukiomba appointment tuonane macho kwa macho, but next year coz schedule yangu for this year is full..

actually,
sitaki mtu yeyote anichukulie kwamba I'm so special than special itself, No mimi si wa hivyo,

Yes,
ni mwanadiplomasia mwandamizi wa kisiasa but pia ni mtu wa kawaida tu we can share ideas and a cup of coffee na maisha ikasonga,

ama ulitaka kusema nini gentleman?🐒
Nishakutambua siku nyingi.
Tuachane hapa hapa.
 
Mkuu kuna viumbe hawana chamber utu na huruma kabisa. Wana mawazo ya kijinga kupindukia
mnapeana moyo dhidi ya mapendekezo ya kiuchunguzi ndani ya chadema ndrugu zango?

kwamba hayafai?🤣
 
Back
Top Bottom