Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sativa alieleza kua alipotekwa kwa mara ya kwanza alipelekwa kituo cha polisi Oysterbay. Unadhani Chadema wamekua wakubwa mpaka kutumia miundombinu ya serikali kufanyia shughuli zao?
 
Unaweza ukabeba smg au Ak 47 asubuhi tegeta kama wewe ni raia wa kawaida bila wenye mamlaka kukutuma.
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Usituhamishe ndg yetu. Tuache kwanza. Usitake tuamini ambayo hatutaki kuamini. Mwenyekiti wa vijana Bukoba alisema, tulisikia. Mkuu wa wilaya fulani alisema tulimsikia. Bado tunatafakari yanayokea ya wale na wale na yule. Mpaka leo mtoto aliyechoma picha aliyochora hatuna majibu karudi kwao au la. Kwa nn utuhamishe tuamini hivyo?. Subiri kwanza muda haujafika.
 
Usituhamishe ndg yetu. Tuache kwanza. Usitake tuamini ambayo hatutaki kuamini. Mwenyekiti wa vijana Bukoba alisema, tulisikia. Mkuu wa wilaya fulani alisema tulimsikia. Bado tunatafakari yanayokea ya wale na wale na yule. Mpaka leo mtoto aliyechoma picha aliyochora hatuna majibu karudi kwao au la. Kwa nn utuhamishe tuamini hivyo?. Subiri kwanza muda haujafika.
Amini Mungu pekee gentleman, acha ushirikina tafadhali...

mamia ya wamasai kutoka hifadhi ya taifa ya Ngorongoro kwa uzalendo wao kwa taifa lao ndio wanahama sio kuhamishwa, wanahamia Msomera mkoani Tanga kwa hiyari yao..

mimi sihusiki na uhamisho wa mtu yeyote au kitu chochote popote....

Nasisitiza Zaidi Imani yako iwe kwa Mungu muumba wako pekee, binafsi sihubiri imani hovyo hovyo tu, bali kwa utaratibu na sifanyi hiyo kazi ya kuaminisha wengine chochote, hapana...

sawa gentleman 🐒
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Dogo uko tayari tulete Scotland yard waje kuchungiza,
Atakaye Pinga na kataa hii miamba ya uchunguzi isije ndo muhusika

Nimewasikia cdm Leo wanasema wako tayari uchunguzi huru wa kimataifa

Vivi mabwana zako ccm waanafiki ujio wa wachunguzi Toka nje?
 
Dogo uko tayari tulete Scotland yard waje kuchungiza,
Atakaye Pinga na kataa hii miamba ya uchunguzi isije ndo muhusika

Nimewasikia cdm Leo wanasema wako tayari uchunguzi huru wa kimataifa

Vivi mabwana zako ccm waanafiki ujio wa wachunguzi Toka nje?
tatizo kubwa ni mtoa wito ana rekodi za uhalifu hatari zaid duniani, ugaidi 🐒
 
Dogo uko tayari tulete Scotland yard waje kuchungiza,
Atakaye Pinga na kataa hii miamba ya uchunguzi isije ndo muhusika

Nimewasikia cdm Leo wanasema wako tayari uchunguzi huru wa kimataifa

Vivi mabwana zako ccm waanafiki ujio wa wachunguzi Toka nje?
Scotland yard ya nini kwasasa wawaachiie wanaTanga wamalize kitendawili kilichopo,huko ni kutaka kupotosha umma,wanwaache wananchi wamlilie Mungu wao kwa njia zao
 
Ulivyowasilisha ni kama vile uchunguzi ulitakiwa kufanyika kisha ukasitishwa. Sasa kwa vile umeiweka hivyo, nimeijiwa na swali: je, kwa kumbukumbu zako, nani aliyekataza wasichunguzwe na ilikuwa mwaka gani?
kua mustahimilivu na mwenye subra uchunguzi unaendelea🐒
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
The headline is a blatant fallacy, so what you claim is equally fatally flawed.
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Now you are talking
 
calm down and relax gentleman detective apparatus are at work 🐒
I just questioned your way of reasoning, I'm not at all worried because I don't belong to any political party although I espouse anything positive in any political party.
 
Back
Top Bottom