Dah yani inaumiza sana akili mkuu unaeza ikataa mimba kabisaMwenyewe mhanga tema mm siku nne
Kuna mambo uwe tayari kupokea hasa kama kufanya mapenzi bila kingaDah yn inaumiza sn akili mkuu unaeza ikataa mimba kbs
Siku ya 14 ni sawa kabisa kushika mimba.Mwenyewe mhanga tema mm siku nne
Hata siku ya 8 mimi nakukatalia mkuu, hizi kalenda nimeshazitumia saana mkuu. Kuanzia siku ya 12 usijaribu kabisa kumwaga ndani. Hata siku ya 11 inategemea na spermz za mwanaume.Ta inawezekana sana maana mbegu za kiume zinaweza kuwa hai kwa muda wa masaa 72 sawa na aiku tatu hvyo basi tunasahuri 11-3=8. Manake ni kwamba ukisex naye aku ya nane toka ameanza hedhi mimba inaweza tokea...lkn kwa sku ya saba....duh utata...labda nambie kitu kimoja...alianza hedhi saa ngapi na ulisex naye saa ngapi.....
Au nichek 0620436634
Dah aya mambo yanachanganya sn aseeKama ana mzunguko wa siku 28 na kupanda juu, HIYO MIMBA SIO YAKO. Hakuna mimba inayojitunga siku ya 7, 8, 9, 10 hata hiyo ya 11 sio rahisi.
Mimi nimeshalala na wanawake wenye mzungo wa siku 28 na nmesex nao kwa siku ya 11 na mimba hawakunasa.
Nilianza kusoma haya mambo ya mzunguko baada ya kutoa mimba 2, mpaka sasa sidanganyiki na hizi calendar.
N kwel mkuuKuna mambo uwe tayar kupokea hasa kama kufanya mapenzi bila kinga
Kwa ushauri huu huu nilipata mimba siku ya tisa ya mzunguko...Kama ana mzunguko wa siku 28 na kupanda juu, HIYO MIMBA SIO YAKO. Hakuna mimba inayojitunga siku ya 7, 8, 9, 10 hata hiyo ya 11 sio rahisi.
Mimi nimeshalala na wanawake wenye mzungo wa siku 28 na nmesex nao kwa siku ya 11 na mimba hawakunasa.
Nilianza kusoma haya mambo ya mzunguko baada ya kutoa mimba 2, mpaka sasa sidanganyiki na hizi calendar.
Una mzunguko wa siku ngapi?Kwa ushauri huu huu nilipata mimba siku ya tisa ya mzunguko...
Kasome statistic za wanawake wanaofanikiwa kupitia kalenda via wanaofeli...
Hata ukitumia apps zinakuonesha kabisa kuna uwezekano wa kupata mimba kuanzia siku ya 11 mpaka 14>>>
Mbona mm nimelala nae siku ya NNE alafu ka conceiveSperm za mwanaume zina uwezo wa kukataa kwenye mwil wa mwanamke for 3days minimum and 7days maximum .kwa hyo umefanya mpenz na mpenz ndan ya utaratib wa uwezekano wa kupata mimba na co nje ya utaratib kama jins ulivyoeleza.
Mimi mwenzio nimevurugwa malengo yote naona yamekwamaDah yn inaumiza sn akili mkuu unaeza ikataa mimba kbs
Dah yn inaumiza sn akili mkuu unaeza ikataa mimba kbs
Vipi mzee na wewe amenasa mimba?Mimi mwenzio nimevurugwa malengo yote naona yamekwama
Vipi shemej yetu alikuelewa?Kwa ushauri huu huu nilipata mimba siku ya tisa ya mzunguko...
Kasome statistic za wanawake wanaofanikiwa kupitia kalenda via wanaofeli...
Hata ukitumia apps zinakuonesha kabisa kuna uwezekano wa kupata mimba kuanzia siku ya 11 mpaka 14>>>