Issue muhimu hamna aliyetaja na muhusika kazungumzia - '...alikuwa anatumia clomitab'. Hii ni jamii ya dawa inayoitwa clomid na its a fertility medication to make someone ovulate (au used pale cause of infertility is unknown). Inawezekana hii dawa ilipelekea ovulation kufanyika mapema...wakati mwingine inapelekea hata mayai mawili kupevuka. Hakikisha hauna twins mweshimiwa....