Kwani hawajatangaza kuchukua hatua ZOZOTE?.....wachukue hatua zozote za kuzuia usambaaji wa gonjwa hilo; kwa mfano kwa vile sasa hivi imeonekana wazi kuwa kuna maambukizi ya ndani kwa ndani, siyo yale ya watu waliotoka nje tena, basi wazuie mizunguko ya watu mitaani. Jinsi gani watafanya hivyo, mimi sijui kwani wao ndio wanaolipwa na wana nyenzo za kufanya kazi hiyo.
jiwe kaingia mitini kazi imeshamshinda, hili janga limekuwa kipimo tosha kudhihirisha kwamba viatu alivyo vaa havimtoshiKichuguu mkuu wangu, tatizo letu wa TZ ni kuogopa kusema ukweli na kujawa na unafiki.
Bila kumuambia bwana mkubwa kaa pembeni kwa hiari uachie ofisi umeshindwa hakika tutateketea tunajiona au shurti itumike alazimishwe kwa kukosa imani.
Huyu bwana anaendesha mambo mengi kwa mizaha na ukali upo pale tuu pasipo na sifa binafsi.
Watu wanadhani katia woga katika utendaji kumbe katia woga katika uteuzi, watu wanaogopa kupoteza nafasi sio kupoteza weledi.
Corona imechukuliwa kizembe sana hapa kwetu tena kuliko Italy au US na hata matokeo yanafichwa utadhani kwa kufanya hivyo ndio wanakinga wengine.
Hatua ya mwisho eti tuombe kama taifa! Hivi hill huwa in agizo LA Rais au viongozi wa kiroho ndio wajibu wao? Na walikuwa wanatuhimiza na tunafanya kila siku. Lakini kasema yeye kumbe hizo siku tatu zimekuwa sio za kumtukuza na kumuomba Mungu bali kumsifu yeye na kumtukuza kwamba ndiye kiongozi wa kipekee duniani mwenye majibu ya corona. Nini hii??
Tuambiane ukweli, Magufuli ashukuriwe kwa yote aliyofanya kama mtumishi wa umma lakini aambiwe apumzike. Tena hakuna haja ya kusubiri October, aache Mama Samia awe acting hadi uchaguzi vinginevyo tunaweza kuyapata ya Italy na kusaga meno. Kwani lazima awe yeye hata kama kafeli?
Kwani idadi halisi ni wangapi?Pia idadi halisi watu wajue huu ugonjwa sio wakupuuza.
Dawa ya virusi ni ngumu kwa kuwa virusi huishi ndani ya seli ya MTU au kiumbe kilicho ambukizwa hao virusi. Hivyo unapotaka kuangamiza virusi unajikuta unaangamiza seli.Dawa ya virusi ni Nini?
Wametangaza katika hali isiyo thabiti. Ni kama tahadhari ya kawaida ya hiari badala ya kutangaza kama tahadhari ya dharura ambayo itakuwa enforced kwa kutumia taasisi za serikali.Kwani hawajatangaza kuchukua hatua ZOZOTE?
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Ipigwe lockdown ya jumla.Watanzania mna penda sanaa kulalamika vitu ambavyo hamvielewi..
Jamaa hapo kakuuliza serikali ifanye nini.
"UNAJIBU HATA WEWE HAUJUI ".
hivi unadhani magufuli anapenda ugonjwa uendelee?.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Mtu ambaye kupata nauli ni shida, ataiweza barakoa? Bashite kazi yake ni kuropoka bila kufikiri.Ukiwa kama kiongozi kabla ya kutoa tamko litafakari kwanza. Unaposema kila mwananchi lazima avae barakoa kabla ya kutoka nje ya nyumba yake
1. Fahamu kuwa watu unao waongoza ni wa aina tofauti. Wengine hawafahamu barakoa ni kitu gani.
2. Fahamisha matumizi sahihi ya barakoa na uvaaji sahihi. Barakoa inatakiwa izibe kuanzia chini ya macho mpaka chini ya kidevu. Uvaaji usio sahihi bado unakuacha kwenye hatari ya maambukizi.
3.Fahamisha watu watakapoweza kupata barakoa na bei yake.
Wangesema wasio na uwezo wa kununua wapate kutoka kwa mwenyekiti wao wa mtaalamu. Wenyeviti wote wa mitaa si walipita bila kupingwa, hivyo wote ni CCM.Mtu ambaye kupata nauli ni shida, ataiweza barakoa? Bashite kazi yake ni kuropoka bila kufikiri.
Wangesema wasio na uwezo wa kununua wapate kutoka kwa mwenyekiti wao wa mtaalamu. Wenyeviti wote wa mitaa si walipita bila kupingwa, hivyo wote ni CCM.
Maria Sarungi (shangazi) amesema barakoa za vitenge hazisaidii.Halafu kwa sasa naona kuna barakoa nyingi ambazo sio kuna hadi za vitenge sijui inakuaje hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
jiwe kaingia mitini kazi imeshamshinda, hili janga limekuwa kipimo tosha kudhihirisha kwamba viatu alivyo vaa havimtoshi
Usipobadilika utakufa kweliNina wasiwasi Korona itatuua sana Tanzania kuliko kipindupindu, HIV-Aids na hata town. Naona kama kumekuwa na ubabaishaji sana katika kusimamia janga hili.
Viongozi wa serikali msifanye mchezo wa kufurahisha watu kuwa maisha ni kama kawaida. Trump alifanya hivyo akaiingiza Marekani katika Janga. Viongozi kuweni seriousi na gonjwa hili ambalo ni tofauti kabisa na HIV ambayo mtu alikuwa anaweza kujitunza asiipate kabisa, lakini gonjwa hili halina cha kujitunza; ukiingia mitaani tu linakuzoa.
Fundisheni watu seriously, siyo hii ya lele mama. Tanzania tumewahi kuumizwa na milipuko ya kipindupindu, HIV-AIDS lakini yote hayo yalikuwa yanategemea matendo yako mwenywe; hili jipya halitegemei matendo yako kabisa bali ni exposure tu. Kqwenye daladala, sokoni, mitaani, madukani na sehemu zote za watu wengi utalizoa.
Tusidananyike kuwa barakoa ndiyo dawa, hapana, hiyo inasaidia kwa kiwango kidogo sana. Kwetu nchi ya jasho, unaweza kuwa na barakoa ukazoa hiyo virus kwenye jasho lako na kubeba wakati unafuta jasho.
Well said na kwamba hizi zinatakiwa medical statements na sio mpayukaji tu hivi. Anajua athari za kuvaa hicho kidubwana kutwa nzima? Anajua kinatakiwa kuvaliwa kwa masaa mangapi?? Anajua ni zipi ni recommended na zipi sio??Ukiwa kama kiongozi kabla ya kutoa tamko litafakari kwanza. Unaposema kila mwananchi lazima avae barakoa kabla ya kutoka nje ya nyumba yake
1. Fahamu kuwa watu unao waongoza ni wa aina tofauti. Wengine hawafahamu barakoa ni kitu gani.
2. Fahamisha matumizi sahihi ya barakoa na uvaaji sahihi. Barakoa inatakiwa izibe kuanzia chini ya macho mpaka chini ya kidevu. Uvaaji usio sahihi bado unakuacha kwenye hatari ya maambukizi.
3.Fahamisha watu watakapoweza kupata barakoa na bei yake.
bhana kiukweli serikali Bado haipo serious kufanya maamuzi magumu this is a dangerous communicable disease.,..hii nawa mikonoi na kuvaa barakoa Bado wa Tz haitotusaidia nabado kunamzaa sasa serikali ilibidi ichukue maamuzi magumuWatanzania mna penda sanaa kulalamika vitu ambavyo hamvielewi..
Jamaa hapo kakuuliza serikali ifanye nini.
"UNAJIBU HATA WEWE HAUJUI ".
hivi unadhani magufuli anapenda ugonjwa uendelee?.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Si wamuige ata museveni babu yupo serious Sana dawa ya hii kitu ni kukaa tu nyumbani barakoa sijui nawa mikono tutaisha tu wa bongo ni wapuuza wa mambo, huku mtaani Bado watu hawapo serious sasa serikali ndio ilitakiwa kufanya maamuzi serious na yalazimaWewe uliyeona SI U TUAMBIE WAMEFANYA NINI?
Na nchi zipi hizo?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"