Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Hapo ndipo lilipo tatizo la watanzania. Mnaambiwa msiende ufukweni kuna tsunami halafu mnataka polisi wakasimamie msiende hukoWametangaza katika hali isiyo thabiti. Ni kama tahadhari ya kawaida ya hiari badala ya kutangaza kama tahadhari ya dharura ambayo itakuwa enforced kwa kutumia taasisi za serikali.
Sent from my SM-A720F using Tapatalk