Hapo ndipo lilipo tatizo la watanzania. Mnaambiwa msiende ufukweni kuna tsunami halafu mnataka polisi wakasimamie msiende hukoWametangaza katika hali isiyo thabiti. Ni kama tahadhari ya kawaida ya hiari badala ya kutangaza kama tahadhari ya dharura ambayo itakuwa enforced kwa kutumia taasisi za serikali.
Ni kweli hawaogopi watanzania na anajua kuwa hawajitambui wala hawajielewi kazi yao wao kusifia ujinga tuIdadi halisi ni hyo 170.
Kama una idadi nyingine tuambie.
Unadhani Magufuli afiche idadi ana muogopa nani?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Hapo ndipo lilipo tatizo la watanzania. Mnaambiwa msiende ufukweni kuna tsunami halafu mnataka polisi wakasimamie msiende huko
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Nina wasiwasi Korona itatuua sana Tanzania kuliko kipindupindu, HIV-Aids na hata town. Naona kama kumekuwa na ubabaishaji sana katika kusimamia janga hili.
Viongozi wa serikali msifanye mchezo wa kufurahisha watu kuwa maisha ni kama kawaida. Trump alifanya hivyo akaiingiza Marekani katika Janga. Viongozi kuweni seriousi na gonjwa hili ambalo ni tofauti kabisa na HIV ambayo mtu alikuwa anaweza kujitunza asiipate kabisa, lakini gonjwa hili halina cha kujitunza; ukiingia mitaani tu linakuzoa.
Fundisheni watu seriously, siyo hii ya lele mama. Tanzania tumewahi kuumizwa na milipuko ya kipindupindu, HIV-AIDS lakini yote hayo yalikuwa yanategemea matendo yako mwenywe; hili jipya halitegemei matendo yako kabisa bali ni exposure tu. Kqwenye daladala, sokoni, mitaani, madukani na sehemu zote za watu wengi utalizoa.
Tusidananyike kuwa barakoa ndiyo dawa, hapana, hiyo inasaidia kwa kiwango kidogo sana. Kwetu nchi ya jasho, unaweza kuwa na barakoa ukazoa hiyo virus kwenye jasho lako na kubeba wakati unafuta jasho.
Unanawa mikono lakini?kwani Magonjwa Mtambuka ana maoni gani juu ya hili?
mkuu kwenye avatar naona umeamua kujivita ventilator kabisaCorona imekuja na Ndege ...Alafu Inatuharibia.Sisi maskini
Aaaaaaahmkuu kwenye avatar naona umeamua kujivita ventilator kabisa
Huelewi maana sikuambii maanaSawa baba wewe ambaye siye mtanzania kwani unadhani kuwa watanzania wote huenda ufukweni.
Kama mnacho mkitakacho fanyeni wenyewe basi. Ni usalama wenuhata tunacho kitaka wafanye wao hawatambui, ni wazito sana katika maamuzi.
ungeweka uchama pembeni,alafu uvae viatu,kuna watanzania wa hali ya chini sana innocents wanakwenda kuathilika, corona haikuwa kitu kigeni hapo awali, serikali ilichukuwa hatua gani za kuzuia huu ugonjwa usisambae nchini!Kama mnacho mkitakacho fanyeni wenyewe basi. Ni usalama wenu
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Afadhali usiniambie maana ambayo siyo maana; nina mambo mengi ya maana.Huelewi maana sikuambii maana
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
unajua kama viongozi wetu walizalau covid-19 ilipo kuwa inaingia nchini,mipaka na airport ziliendelea kufanya kazi, viongozi wachache wakatumia covid kama siasa na kushindana na kukashifiana, na hawa ndio viongozi wetu, wenye uelewa na ufahamu wa aina hiyo! ninapata ukakasi kuamini suruhisho la hili jambo naona kabisa hili janga linasambaha kirahisi, lakini halitaondoka kirahisi ifahamike hivyo.
kwa baadhi ya viongozi wetu wenye dhamana kwa namna hili janga linavyo chukuliwa na aina ya mikakati inavyo pelekwa,naona corona itapiga kambi bongo na kuondoka itatusumbua sana, viongozi wenye dhamana, badilisheni mtazamo,hili ni janga tena janga kubwa, ukizingatia janga halina tiba wala kinga, mbaya zaidi hili janga linapiga yeyote, mtoto, kiongozi, waziri, na wengine wengi.
imeisha...
Kwa taarifa za kisayansi, kirusi chochote si kiumbe hai, hivyo basi kinaweza kutokomezwa kisipokaa kwenye kiumbe hai. Njia sahihi ni kujihakikishia mtu mwenyewe huambukizwi wala kuambukiza.
Usiwaze siasa kila mahali mkuu, acha tabia ya ulalamishi chukua hatua. Mengi yameshasemwa na hakuna jipya, ni wewe na familia yako sasa.ungeweka uchama pembeni,alafu uvae viatu,kuna watanzania wa hali ya chini sana innocents wanakwenda kuathilika, corona haikuwa kitu kigeni hapo awali, serikali ilichukuwa hatua gani za kuzuia huu ugonjwa usisambae nchini!