[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu tupe na sie namba yake tujaribu bahati.Sio fungu lako huyo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
tumekugunduaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
braza mtu unaye mpenda akiwa anakupigia mara nyingi ndio poa tena had unafurahi
ila mtu ulo mchoka, inakuwaga bonge ya kero
ila ole wako umwache
huyu mjanja hampendi halaf anataka tumuunge mkono kwenye mawazo yakeHahahahaha..eti hatukwambii
Ni kweli kabisa hampendi mdada wa watu huyo mleta mada.huyu mjanja hampendi halaf anataka tumuunge mkono kwenye mawazo yake
mimi mtu nikiwa nampenda hata anipigie mara 30 haiez ikawa kero
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sivai CONDOM mkuu
Ni kweli kabisa hampendi mdada wa watu huyo mleta mada.
Yawezekana mleta mada ndo mwenye shida.matendo yake dhidi ya mdada wa watu ndio chanzo
Au yawezekana pia huyo dada kaumizwa sana kwa style ya kutokupokelewa simu.labda katika mahusiano yake yaliyopita alishawahi kumpigia jamaa ake simu akawa apokei kumuibukia kamkuta kifuani kwa mtu.
Pengine kisaikolojia hayuko sawa juu ya kumpigia mpenzi wake simu na kutokupokea
Kama ww huvai yeye anavaa
Au utamshurutisha avae
Sabab ati tunaogopa mimba
Lkn sababu haaasa nyeti ni ngwengwe[emoji3]
Weweeeeeeeee...acha kujiona mwema bhana.Hapa kuna kaukweli kidogo itakuwa hivyo.
Mzee wa 'JF usiku wa manane' upo?[emoji4][emoji4][emoji4]umetafuta tu kisababu cha kumuacha
kweli nimeamini ukipenda sana utaitwa msumbufu
Weweeeeeeeee...acha kujiona mwema bhana.
Najua huo ukweli unaousemea unataka ukae upande wako
Mzee wa 'JF usiku wa manane' upo?[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa hampendi mdada wa watu huyo mlea
nipo kaka mkubwaMzee wa 'JF usiku wa manane' upo?[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
ile mida huwa unakuwa unafanya nini mkuu?.......au huwa mnakuwa na Mshana kwenye mambo yetu yale?![emoji4][emoji4][emoji4]nipo kaka mkubwa
hata jf asubuhi nipoo
ume observe vzuri sana Chakorii
halaf huyu jamaa wakat wa kuanza mapenzi alikuwa yeye ndii masumbufu na hakuja kulalamika.
hivo wewe huwa unapenda kupigiwa mara ngap per day?
hahahahaile mida huwa unakuwa unafanya nini mkuu?.......au huwa mnakuwa na Mshana kwenye mambo yetu yale?![emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Hahaha kibiti tenahahahaha
wewe ile mida nna mishen maalum
kama kutafuta wauaji wa kibiti, nikifanikiwa tu hutaniona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hhahaa iceman sio hiyo bana
mishe yangu ya kule ni kama kutafuta wauaji wa kibiti ni muhim mnooHahaha kibiti tena