kafumujunior
Member
- Jan 4, 2014
- 10
- 7
Inaonekan asubuhi humsalimii ndomana anawas was salamu sio mpk simu ata ile hello dr i miss u umeamkaje...inamfanya siku yake inaenda vzr kuliko kula buyuNampenda na staki kumpoteza ila kero zimezidi sana hata ukiwa kazini ukishindwa kupokea simu ni shida tupu anakuwazia mengine kabsa ambayo hata huyafikirii.
Post sent using JamiiForums mobile app