Kutokuaminiana katika mahusiano

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kipindi kile weww ndio msumbufu bas unaona rahaa
hebu vumilia na haya matokeo kaka bas

Mbona mimi kipindi namtafuta sikumfikiria tofauti ila yeye ananifikiria tofauti
 
ume observe vzuri sana Chakorii
halaf huyu jamaa wakat wa kuanza mapenzi alikuwa yeye ndii masumbufu na hakuja kulalamika.

hivo wewe huwa unapenda kupigiwa mara ngap per day?
Aiseeh mi napenda nipigiwe mara nyingi tu lkn amake sure ndani ya hizo simu zake kuwe kuna mbinu za kupata hela na michongo ya maisha.

Sio kila saa umekula!umepata break fast!sijui umeenda chooni!sijui nini huko!najua vitu vyote hivyo hata usiponiuliza lazima nivifanye iwe isiwe.

Simu zikiwa nyingi za namna hiyo nitakukinai mapema ingawa sitokwambia.
 
bas
pengine na bwana Typing amekinai mapemaa
kumbe bas inawezekana
 
hahahaha
mtafutaj hachoki, hivo sasa yeye ndio anakushikilia usimponyoke na yeye hata choka

kaaa chini tu uzungumze naye umpe ratiba zako utashangaa sim zina pungua tartib

Anapenda sana kusakua simu yangu akimaliza tu kichwa chake kimejaaa hakiko sawa tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia kukakua simu yangu ipo siku itaku-cost
 

Umeona sasa, harafu mimi nanilaumu tu bure[emoji23][emoji23]
 
mbn hujasema kwann hakuamin
tatizo unalijua ww mwnyw na ww ndo unaweza kulitatua

sent from aifoni seveni plasi
 
bas
pengine na bwana Typing amekinai mapemaa
kumbe bas inawezekana
Hahahahaha sidhani kama yuko hivyo.ila mimi binafsi niko hivyo aiseeh

Na kwenye mahusiano inabidi kupeana nafasi ili umisike na mpenzi wako bhana.

Mi jamaa akiwa ananipigia simu za nini tufanye tuingize mkwanja,haki jombaa sitomkinai huyo mtu aiseeh
 
Anapenda sana kusakua simu yangu akimaliza tu kichwa chake kimejaaa hakiko sawa tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia kukakua simu yangu ipo siku itaku-cost
hahaha
weka paswedi kubwaaaa

ila kaka inaonekana na wewe huaminiki wewe, heb jichunguze
 
hahahaha
mambo ya baby umekula, baby umelala! hayo ndio hupendi

ila ki ukweli mapenzi ya kweli ni pamoja na kupena nafas, ukiona mna kabana kila tyme jua hakuna kuaminiania
na huyu bhana inaonekaba mpenzi wake hamuamini, mchiz ni korofi
 
Kama kuna kitu kigumu kwangu ni kumuamini mwanamke sijui naonaje nahisi kama mwanamke ni dhaifu sana...nina background flani hivi ya huko nyuma ambayo kila mwanamke nilikuwa namtaka nilikuwa nampata kiurahisi sana...sasa imefikia point nahisi wanawake wote ni rahisi kuwapata na ni mbinu za mtongozaji tu...na uongo utakao kuja nao...inani affect sana kwakweli..

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mna muda gani kwenye mahusiano?? amewahi kujua au kuhisu una mwanamke mwengine??
 
Mi nilivyomsoma anataka attention yako...iyo kukupigia simu inatokana mara kwa mara inatokan n jinsi ulivyomzoesha pale mwanzon mapenz yalivyokuw moto moto....hujamwekea mazingira ya kumfanya akuamin....sasa unapokaa kimya sio suluhu maana saivi hujui anawaza nini n huo ukimya wako...anawez akatokea mtu hapo akapet pet kwa hiz wiki mbil ukashangaa mtu akutafuti tena anabdlisha channel..!!kaa naye zungumza naye staying quite is not always the solution in relationships kuwa utaonekana mwerevu sometimes unabomoa..!!!wala usitumie hasira hazita tatua tatizo... the choice is yours

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mna muda gani kwenye mahusiano?? amewahi kujua au kuhisu una mwanamke mwengine??

Anapenda kushika simu yangu nikiwa nimelala huwa anachukua kidole changu anakiweka kutoa lock.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…