Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

Na kuongeza zaidi kwenye ilo uliloongelea pia waangalie goli la Arsenal la 2/2016 na mkono wa Laurent Koscielny na bado Burnley hawajalalamika
 
Umekuwa biased sana,..
Vipi kuhusu goli lililokataliwa la Ajib?
Ilikuwa offiside kweli au la..!?
Na kwa nini hukulielezea..??

goli la Ajibu ni offside. Tatizo watu tunajifanya tunajua kila kitu wakati refa yule ndio professionalism yake ile kaona ile ni offside na ukifatilia move inaonekana kabisa ni offside. Tatizo kituo cha Azam wanazi wa simba ni wengi wanaonyesha slow motion ktk eneo kabla ya offside kutokea lakini hawaonyeshi mundelezo wa movement mpaka offside ilipotokea.
 
Ata kwenye kampeni Nape alisikika akisema ata kwa bao la mkono mtashinda,

sasa kila mahali mnatafuta ushindi kwa bao la mkono,

Utakuwa ni mtu wa ajabu sana kukubaliana na lile bao la Yanga.
Kaangalie goli la Arsenal v. Burnley alichofanya Laurent Koscielny na hujasikia malalamishi
 
Siku za hivi karibuni Arsenal nao wamekuwa kama Yanga wanabebwa sana.
Ohooooo?? Wewe kila team inabebwa? Kwa namna hiyo ukishajenga mentality hiyo huwezi kuamini team yako inachofanya maana utaona unaonewa kila mara
 

Kama haikuwa makusudi, ni kwa nini aukunje mkono kuubeba mpira?

 
Kwenye siasa umekosa hata ujumbe wa nyumba kumi harafu leo naona umeanza kumsujudia MANJI. Hivi utajidhalilisha mpaka lini
 
Jinsi tukio la tambwe lilivyofanyika katika speed ya 4g hata Colina angeweka kati tu,mbona henry kashafanyaga hizo mambo mara nyingi tu,hawa wanalalamika kama mwanamke aliyepewa ujauzito bar.
Tehe Tehe
 
Sasa refa kafungiwa kwa nin hii TZ bana...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mleta mada kafanya uchambuzi mzuri sana unaozidi kutuhakikishia kua ni kweli goli la tambwe lilikubaliwa kimakosa!
 
simba waliondoka na matokeo yao kwenda taifa tambwe aliwasuprise walipohamaki wakaanza kucheza na viti mara ya pili wanakimbilia viti badala ya kuhamasisha wachezaji wao wakomboe magoli
 
Mleta mada kafanya uchambuzi mzuri sana unaozidi kutuhakikishia kua ni kweli goli la tambwe lilikubaliwa kimakosa!


makosa yapo ktk mpira na yanatokea sana refa sio mungu nigeria walikataliwa goli la penati la victor ikpeba ktk fainali na cameroon mwaka 2000 baade walikili ni makosa maradona anawapa ubingwa argentina kwa style hiyo uvumilivu na wered wenzetu vinawabeba ila vilabu vyetu vichanga lazima ucheze na viti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…