Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Uathirikaji wake hauwezi kuwa sawa kulinganisha na jamii ambazo zinachanganyana. Umewahi kuona msudan au mkurya mweupe? Exactly. Hiyo nayo inachangiwa na maziwa?
Wale hawawi weupe sababu, melanin yao inabadilika na kuwa haipothamalus, inasafirishwa na stiglasgoji toka kwenye ngozi na kwenda kwenye miguu, ndio maana hawawi weupe..

😂 😂 😂 😂 😂
 
Mimi ni mfupi sana.Ila nikiegemea ukuta wa nyumba huwa nashika bati nione kama limepata joto.
 
Back
Top Bottom