Yawezekana pia, lkn kwa ukubwa wa chama na diamond mwenyew sizan kama kuna uwezekano wa kushindwana, kati yake na ccm
Ahaa King MufasaTetesi:KUTOKUONEKANA KWA DIAMOND PLATNUMZ KATIKA TAMASHA LA CCM, JE NIKUWAOGOPA MAGIANT WENZAKE
hebu ngoja nicheke tu sasa nitafanyaje?
Waelevu kama wew ndio mnao TIWA na adam adi mitama