Kutokuonekana kwa Diamond Platnumz katika Tamasha la CCM, nikuwaogopa magiant wenzake?

Kutokuonekana kwa Diamond Platnumz katika Tamasha la CCM, nikuwaogopa magiant wenzake?

Habari wana Jamvi, kwanza niwapongeze wasanii wote walioshiriki Tamasha la CCM- Uwanja wa Uhuru, walifanya vizuri, lakini kutoonekana kwa nyota wa muziki Tanzania Diamond Platinumz katika tamasha ilo nadhani ilikuwa pigo kwa mashabiki zake ambao walienda kutaka kumuona.

Je, aliogopa wasanii wenzake kuonekana wamemzidi, katika perfomance kama angekuwepo?
Ningekuwa Diamond nisingekibali kushabikia waziwazi chama chochote kwa ajili ya mstakabali wa mbeleni.
Unapokiingiza katika siasa waziwazi kuna mashabaki muhimu utawapoteza.
 
Angetia aibu ,Rayvanny kaja na gari la zimamoto halafu akapiga kelele na kupita kwenye mashabiki ,alitia aibu,ila Zuchu alikuwa vizuri
 
Tangu Harmonize ameondoka WCB Diamond anapumulia mpira.
WCB nzima hakuna kichwa cha kutunga mashairi yenye ujumbe kumzidi Harmonize
Alafu wabongo Juzi Dodoma show zote mbili Diamond ndiye aliyefunga show,Harmonize hakupanda jukwaani,ina maana Harmonize alimwogopa Diamond?

Kupumulia mipira unakupimaje,wewe msanii January tu 2020 ana shows confirmed zaidi ya 30,kabla ya lockdown kapiga show zaidi 10.

Tena events kubwa (CAF awards,Sound City,BET,MTV),hapo bado show alizozifanya viwanjani ktk nchi ya Ginea na Sierra Leone na show nyengine Belgium,USA ,France (alipopatia Corona Sallam sk).

Ila sijui labda definition ya kupumulia mipira kwako ikoje ? au kama mziki ujumbe basi Kala Jeremiah ni mkali kuliko wote cha ajabu hamumsikilizi.
 
Mzee haupo serious Diamond apumulie machine kisa konde boy?
Huhitaji kuwa na degree kama Mwakyembe kujua kwamba kwa sasa Diamond ana ukame wa mashairi yenye sense.

Wcb tunamis sana kichwa cha konde boy

Mashairi ya Diamond ya sasa lazima utasikia
Kusugua rungu
Rungu la kipepe
Kata kiuno
Ipake wese
Njoo tufanye mavitu
 
Ningekuwa Diamond nisingekibali kushabikia waziwazi chama chochote kwa ajili ya mstakabali wa mbeleni.
Unapokiingiza katika siasa waziwazi kuna mashabaki muhimu utawapoteza.
Kwa bongo bado sana

Hayo tutaishia kuyaona Marekani, Diamond mwenyewe hayupo huru nje ya ccm
 
Wanaimba mambo ya kijinga kijinga wanaharibu watoto huwezi kusikiliza wimbo sebuleni na familia ,mziki umevamiwa na wacheza ngono kila style ya ngono imekuwa nyimbo
Huhitaji kuwa na degree kama Mwakyembe kujua kwamba kwa sasa Diamond ana ukame wa mashairi yenye sense.

Wcb tunamis sana kichwa cha konde boy

Mashairi ya Diamond ya sasa lazima utasikia
Kusugua rungu
Rungu la kipepe
Kata kiuno
Ipake wese
Njoo tufanye mavitu
 
Huhitaji kuwa na degree kama Mwakyembe kujua kwamba kwa sasa Diamond ana ukame wa mashairi yenye sense.

Wcb tunamis sana kichwa cha konde boy

Mashairi ya Diamond ya sasa lazima utasikia
Kusugua rungu
Rungu la kipepe
Kata kiuno
Ipake wese
Njoo tufanye mavitu
Diamond afanyi mziki for fan anafanya mziki kwa target ukiangalia ngoma nyinyi anazopatia show za nje ni Kama hizo na ndio zinazompa tuzo ngoma za mashairi unazotaka wewe azifanyagi vizuri kwenye international market mfano mzuri je utanipenda Ni ngoma iliyofanya vizuri East Africa lakini haijafanya vizuri international na Wala haina tuzo yoyote the same to kamwambie,sikomi,niache n.k. sio kwamba diamond kashiwa kuandika mbona ile project ya super woman mbona kuandika yeye pia Kuna ngoma aliipost Kama teaser Ina mashairi konki lakini hajatoa mpaka leo yule jamaa anatoa ngoma kwa target sio tu anaachia tu ngoma.
 
Back
Top Bottom