Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Hajui kitu huyo dogo anakurupuka sanainnocent dependent ukipata muda njoo mfokee mleta mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kitu huyo dogo anakurupuka sanainnocent dependent ukipata muda njoo mfokee mleta mada
Hajui kitu huyo dogo anakurupuka sana
HahahahahahahahahWewe unajua nini?
Mengi tuWewe unajua nini?
Daaaah magiant gani , maybe rayvannyNahisi alikuwa anaogopa magiant wenzake
Mengi tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unajua nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiv unafikir kwa mitama ile ya pale stejini domo ange survive vip.
Tangu Harmonize ameondoka WCB Diamond anapumulia mpira.Hakuna msanii mkubwa kuliko DIAMOND maybe RAYVANNY kwa mbali sawa period
Mzee baba unachuki na CCM sio kwa style hiyo mzeeSijapata muda wa kuangalia hilo tamasha zaidi ya Clip ya MITAMA tu kumbe DIMONDI hakushiriki? IMEISHA HIYO.
Mzee haupo serious Diamond apumulie machine kisa konde boy?Tangu Harmonize ameondoka WCB Diamond anapumulia mpira.
WCB nzima hakuna kichwa cha kutunga mashairi yenye ujumbe kumzidi Harmonize
Nyie hamjamjua huyu mondi anataka awe na shoo yake mwenyewe kingine kwa sasa amekuwa mbinafsi sanaHabari wana Jamvi, kwanza niwapongeze wasanii wote walioshiriki Tamasha la CCM- Uwanja wa Uhuru, walifanya vizuri, lakini kutoonekana kwa nyota wa muziki Tanzania Diamond Platinumz katika tamasha ilo nadhani ilikuwa pigo kwa mashabiki zake ambao walienda kutaka kumuona.
Je, aliogopa wasanii wenzake kuonekana wamemzidi, katika perfomance kama angekuwepo?
yaani huyo kikaragosi ndo unamlinganisha na baba lao? muulize saivi anavohangaika kupata views, ukichukua views wa album nzima ya huyo mmakonde+ dodo na so hot bado ujumla wao hawajafikia views wa wimbo1 wa jeje alafu unaleta utopolo wa maneno hapaTangu Harmonize ameondoka WCB Diamond anapumulia mpira.
WCB nzima hakuna kichwa cha kutunga mashairi yenye ujumbe kumzidi Harmonize