Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku

Umeshindwa kutoa hiyo Siri huna msaada Bora ungekaa kimya.

Nikishaitoa siyo siri tena! Lengo la kusema kuna siri, kama upeo wako wa kuchambua mambo, huwezi kuelewa!
Unatakiwa ufahamu kuwa biashara si kila mtu anaweza kuifanya, kukaa kwangu kimya kunaweza kusiwe msaada kabisa! Ila kwa kusema walao kuna hiyo siri kutamfanya yule anayetaka kuingia/kuanza ama yule anayefanya(na hajui) kama atasoma nilichoeleza afanye utafiti wa kina juu ya biashara anayotaka kuifanya ili asije kupata hasara kabla ya kuona matunda yake!
Wafanya biashara wakubwa na wa kati wote wana siri kubwa sana, juu ya biashara zao na kamwe huwezi kuzikuta zimeanikwa hadharani, na mtu kujua kuwa wanasiri hizo basi kutamfanya atafiti zaidi ajue kuna nini ndani ya hizo biashara!
Hivyo mimi kusema hivyo tayari ni faida, kama hujiongezi ni shauri yako!

Lakini pia nilichosema kama uliona kuwa hakina msaada kwako basi na wewe ungepita kimya kimya bila kuniqoute!
 
ULIPOKUWA FORM FOUR KUNA TOPIC INAITWA PROBABILITY. KAMA ULIIELEWA HUWEZI KUUMIZA KICHWA KWA HALI KAMA HIYO.

AU SHORT-CUT NENDA MAKETE AU TUNDUMA UKATAFUTE DAWA WATEJA WAJAE HADI UTAMANI KUWAFUKUZA.
 
Kama huwezi mpea jirani yako laki 2 usinitafute ukiwa sahihi everything is like a game nothing absolute
 
Umenena yote
 
Mkuu mbona ndoto yangu ni kufungua hardware ya kama 15mil??
 
Aiseeee, pole sana kiongozi...
 
Kwa biashara halali nikiwa na maana isiyo na ndumba hicho ni kitu cha kawaida.

Nini cha kufanya

Usifikirie wateja kwanini hawaji maana hauna ahadi nao Wewe fikiria mambo yako mengine.

Usitegemee biashara moja uwe na mbili au tatu au hata zaidi haziwezi kukutupa zote lakini ukiwa na moja ikibuma ndo kama hivyo.
 
Mkuu wewe ni mfanyabiashara au ni mtazamo wako tuuu?
 
Aiseeee, pole sana kiongozi...

Shukrani, kikubwa unatakiwa kujipanga tu na kuwa mvumilivu, kikubwa zaidi angalia bidhaa zenye mzunguko mzuri, usiweke tu ilimradi duka lijae kila kitu!
 
Pumba tupu umemwaga hapa, by the way una hata genge la vitunguu?
 
Pumba tupu umemwaga hapa, by the way una hata genge la vitunguu?

Kama ni pumba, naamini umeila na kushiba, wewe si nguruwe?

Najua unataka kutafuta genge la kukopa vitunguu, hii january inayoanza ndio maana ushafulia, ndio maana unaanza kuuliza maswali ya kujilengesha!

Sasa me nina genge la pumba ndio nimekuja kumwaga kidogo hapa angalau upate chochote akili yako ikae sawa!
 
Tusanue mkuu, unawekeza wapi
 
Kwani ilikuwa ni mali mbichi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…