Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

Nimesikia sauti nyikani ikisema; ....panapokaribia kupambazuka, kiza huwa nene...Those who laugh last laugh longer...
 
Huyu chawa wa Magufuli aliomba Toba lini? Ipo siku mtaanza kumtetea mpaka Makonda.

Hawa watu wameumiza sana watu na wamewasababishia madhira makubwa.

Hawa ndio kwa hakika wanamjuwa nani alimpiga risasi za kikatili vile Tundu Lisu.

Ni utaratibu wa dunia nzima utawala wowote wa kifashisti kama wa hawa washamba wa kihutu unapoangushwa wale viherehere wote ni lazima watiwe adabu.

Soma historia ya utawala wa kifashisti wa Bolshevik ulipoangushwa wale machawa wote walifanywa nini? Au angalia utawala wa Saddam Hussein ulipoangushwa ni nini kilifuata?

Sisi tunatumia sheria za Musa za torati ni jino kwa jino ili iwe fundisho kwa wengine.

Utawala wa Saddam uliangushwa kama wa huyo msoviet mwingine uliyemtaja. Utawala wa CCM ungali madarakani. Hatua za kuufurusha madarakani haziwezi kumtenga awaye yote.



Huyu nguli ana maana yoyote kwako, au nguli ni wewe naye ni kidampa tu?

Siasa za chuki na visasi hazina manufaa yoyote balu ni kujilisha upepo tu. Ukishiba usiache kutuletea mrejesho.
 
Utawala wa Saddam uliangushwa kama wa huyo msoviet mwingine uliyemtaja. Utawala wa CCM ungali madarakani. Hatua za kuufurusha madarakani haziwezi kumtenga awaye yote.

View attachment 2427576

Huyu nguli ana maana yoyote kwako, au nguli ni wewe naye ni kidampa tu?

Siasa za chuki na visasi hazina manufaa yoyote balu ni kujilisha upepo tu. Ukishiba usiache kutuletea mrejesho.
Hujui hata ulichokiandika, yule ibilisi alikuwa na chama chake kinaitwa Ccm mpya, Sasa utawala wa Ccm mpya umeshaangushwa, Ccm asili wamerudi na chama chao, inahitaji akili kulikuwa hili.
 
Kwahio Mko watatu tu nchi nzima?
Katika hao watatu, itokezee vile vizee 2 vinywa gongo vifuatwe rasmi na TBC/ITV/STAR TV viulizwe msimamo wao kuhusu kauli ya Bashiru bila ya kupindisha pindisha maneno, nakwambia vitaruka kimanga.
 
Hujui hata ulichokiandika, yule ibilisi alikuwa na chama chake kinaitwa Ccm mpya, Sasa utawala wa Ccm mpya umeshaangushwa, Ccm asili wamerudi na chama chao, inahitaji akili kulikuwa hili.

Kuna yule nguli nilikuwekea pale. Umejifanya hukumwona au kuwa nguli ni wewe?

Kama taifa elimu ni tatizo kubwa. Tuna rundo la wasiojua hawajui. Hujioni kuwa mmoja wa timu hiyo ndugu?
 
Back
Top Bottom