Kutokuvaa soksi siyo uhuni!

Kutokuvaa soksi siyo uhuni!

Basi kesho nenda kazini kwako na Pensi na Kobazi, Tshirt na Kofia.
Kuna standards zimesetiwa ili kulinda hadhi ya Office na kudumisha ustaarabu wa wafanyakazi

Si mara zote utavaa ili upendeze au ujisikie fahari vile unapenda wewe.

Ukianza kuona Sheria ni mzigo au Ushamba basi ujue unashida kichwani.
Ofisini kwako Kuna Sheria ya ulazima wa uvaaji wa soksi?,huoni kama ni utumwa na Ushamba?

Binafsi nimejiajiri na hivyo sipelekeshwi na Sheria Uchwara za uvaaji wa soksi!
 
Nimekushauri tu, kama umevaa Jeans na Raba hapa kuvaa socks ni Afya tu si lazima maana haya si mavazi ya kazini hivyo utakua zako mtaani ila unapovaa Oficial Moka na Cardet au Kitambaa socks ni Sheria vinginevyo huu ni Ushalobalo wa Kitoto na inaonyesha wazi lengo lako si kazi ni attention.
Mkuu kutokuvaa soksi kunapunguza utenda kazi katika ofisi?,Kama siyo,Je kwanini uone mtu ambaye amekuja ofisini hajavaa soksi kama Muhuni au sharobaro?

Hii ni sawa na mkanda,kama suruali inanitosha vema kwanini nivae mkanda?,na nispovaa mkanda unione Muhuni?
 
Ofisini kwako Kuna Sheria ya ulazima wa uvaaji wa soksi?,huoni kama ni utumwa na Ushamba?

Binafsi nimejiajiri na hivyo sipelekeshwi na Sheria Uchwara za uvaaji wa soksi!
Ndo maana akili yako ina Kiburi.
Naamini ofisi yako bado ni magumashi wenzio waliojiajili na kujipata si hata wewe unawaona wanavyovaa wakikutana na wakubwa wenzao kikazi?

Pole🚮
 
Mkuu kutokuvaa soksi kunapunguza utenda kazi katika ofisi?,Kama siyo,Je kwanini uone mtu ambaye amekuja ofisini hajavaa soksi kama Muhuni au sharobaro?

Hii ni sawa na mkanda,kama suruali inanitosha vema kwanini nivae mkanda?,na nispovaa mkanda unione Muhuni?
Ukichomekea vaa mkanda, Sitokujibu tena ukiendelea kung'ang'ania Ulimbukeni wako.
 
Ukichomekea vaa mkanda, Sitokujibu tena ukiendelea kung'ang'ania Ulimbukeni wako.
Aliyekwambia ukichomekea lazima uvae mkanda ni nani?,wewe ni mashamba na limbukeni!

Miafrika mingi ni milimbukeni Kwa kuiga iga mambo tu!
 
Ndo maana akili yako ina Kiburi.
Naamini ofisi yako bado ni magumashi wenzio waliojiajili na kujipata si hata wewe unawaona wanavyovaa wakikutana na wakubwa wenzao kikazi?

Pole🚮
Wewe ni limbukeni na mshamba,nimekuuliza swali lakini unashindwa kujibu umebaki na blah blah zako tu!

Ni wapi mtu ambaye hakuvaa soksi amewahi kufikishwa mahakamani kwamba utendaji kazi wake ni mbovu?

Ni lini uvaaji wa soksi ukaongeza akili kichwani?
 
Aliyekwambia ukichomekea lazima uvae mkanda ni nani?,wewe ni mashamba na limbukeni!

Miafrika mingi ni milimbukeni Kwa kuiga iga mambo tu!
Daah Ogopa sana Jeshi la watu wajinga hasa pale wanapoung'ang'ania ujinga wao, Sorry sijakutusi ila unashida ya akili.
 
Wewe ni limbukeni na mshamba,nimekuuliza swali lakini unashindwa kujibu umebaki na blah blah zako tu!

Ni wapi mtu ambaye hakuvaa soksi amewahi kufikishwa mahakamani kwamba utendaji kazi wake ni mbovu?

Ni lini uvaaji wa soksi ukaongeza akili kichwani?
Ni nani wewe ulimuona ukiachana na ofisi zenu za uchochoroni na maafsa usafirishaji wenye akili za aina yako?
Wote wenye akili za aina yako washatupisha kwenye system kwa sababu moja au nyingine ila chanzo ni ubishi tu kama ulio nao wewe.
 
Nipe sababu 3 za kuvaa Suruali?
Kuvaa suruali hakuna sababu 3 Bali ni 2 tu!

1.Navaa suruali Ili kuficha utupu (Uchi)
2.Navaa suruali kwasababu Mimi ni mwanaume,ni sharti kuvaa suruali Ili kujitofautisha na jinsi ya KE
 
Kuvaa suruali hakuna sababu 3 Bali ni 2 tu!

1.Navaa suruali Ili kuficha utupu (Uchi)
2.Navaa suruali kwasababu Mimi ni mwanaume,ni sharti kuvaa suruali Ili kujitofautisha na jinsi ya KE
Ugoko wako ni Uchi?
 
Wa- mbulu na wa-raqi wote ni ndugu!

Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!

Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!

Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!

Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!

SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI

1.Kama Urembo au utanashati!

2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!

Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!

Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!

Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!

Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!
Mpuuzi ww hojaless kabisa
 
Kwahiyo sababu nikizoziweka hapo hijaziona au?

ACHA UTAHIRA!
Hazina mashiko, Unaweza Vaa Kanzu bado ukaonekana Mwanaume, Unaweza Vaa Kaptula bado ukastili Uchi wako.

Kwanini unavaa suruali?

Nijaalie umri wako, Una Elimu gani kwanza maana ubushi wa kipumbavu kweli.
 
Back
Top Bottom