Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu

Forex Power
Trade to get financial freedom

All the best traders
@mrkipago kila mwezi kuna watu wana tengeneza pip za kutosha kama picha hapo chini.
thank wameniunga so mambo yakiwa poa hope nitakuwa mentor na mimi ila bure kwa vijana wanao chipukia. AU NIKUPE LINK NA WEWE
 

acha njaa just trade forex
 
Karibuni katika group la watsap kuhusu crypto na forex..... Tupeane elimu,na namna ya kutrade, kuchambua soko na kupeana ujuzi kuhusu forex na crypto.


Bonyeza Link Hii :

Forex /blockchain EA:


KARIBUNI.
 

kupanda na kushuka thamani kwa bitcoin ni kitu cha kawaida.

Wazo huru, Bitcoin ingekuwepo tangu miaka ya nyuma USA na washirika wake wasingetuburuza kushusha thamani ya pesa za nchi changa kila kukicha. why? Bitcoin is not centrally controlled.

Mtu akiniuliza kipago una mentality gani kuhusu pesa?? Its simple you don have to weigh your earnings in any currency other than USD, ukiwa na pesa ukawa unazicount kwa kutumia TZS zitakupumbaza pesa yetu haina thamani kabisa.
Kuanza kufanya hivi kutakufanya uanze kudharau take home za watumishi wengi Tsh 700,000/= ambayo ni $310...real?? Is $310 able to make a living for a month?? Hata kula tu vizuri kwa mwezi mmoja haitoshi.
Its me and you that we can change..its me and you that we can fight against be enslaved our mind.
 
onyesha unavyopata faida
Hata nikikuonyesha ninavyopata itasidia nini? kama bado huamini forex inalipa kwa traders makini basi wewe endelea kutoaamini! Tatizo tumeaminishwa kwamba kitu kulipa lazima kikupe mamilioni ya hela tena kwa muda mfupi? Moja wapo ya sabubu zinazofanya biashara nyingi kufa ni hii attitude hasa kwetu ngozi nyeusi! Hatui kudunduliza kidogo kidogo mpaka ukawa milionnaire! Get rich quick (deal) inatuangamiza na kutupofusha macho!
 

Acha mawazo mgando boss
 
Kila mentor wa forex nnaye mjua ana broker wake anayemtumia! na hii sio kwa tmt tu ni dunia nzima!!
Ni kweli, lakini kwanini katika training yao hakukuwa na kipengele cha How to choose a broker? Kama hiki kipengele kingefundisha watu wangejua mapema sana mbivu na mbichi. Na hizi thread zote za kumponda jamaa zisingekuwepo mitandaoni
Kusema watu wanalazimishwa pia unakosea, maana kabla hujajiunga unapewa terms and condition, moja wapo ni hiyo ya broker!! unasoma ukiridhia ndio unajiunga!!!
Kutoweka wazi kwamba yeye ni IB wa JP markets sidhani kama ilikuwa ni fair, Watu wangapi walikuwa wanafahamu kuhusu IB na impact zake?
Sielewi unaposema "wanalazimishwa kutumia broker" una maanisha nini maana huu ni utaratibu wa mentors wote na sio tmt pekee!!
Hapa siyo kweli, I know some mentors ambao hawakuchagulii broker wala hawakulazimishi kwamba uanze na kiasi fulani cha pesa na mambo yanaenda ppoa tu.


Kusema ukweli TMT walitumia weakness ya watu wengi kutoijua forex katika kuwaumiza kwa baadhi ya mambo, Kwa mfano minimum deposit ilikuwa ni $100 na kwa amount hiyo cre alikuwa anasema kwamba mtu anaweza kuopen 7 trades za 0.01.... at the same time kuna circumcitance ambazo watu walikuwa wanahold losses hata za 200pips against. Do you think kwamba mwenye akaunti ya $100 halafu ana hizo trade 7 za 0.01, halafu market imeenda 200pips against na kile alichokuwa amepanga atasalimika?
 

Kama ni kudeposit basi kila broker nadhani ana fastest way ya kudeposit (huku sina shida nako), Kuwithdraw hapa ndipo watu wengi walipodanganyika. Do you think kwamba Jp market ndio ana fastest way ya kuwithdraw? For your information, Brokers wenye fastest way za kuwithdraw money ni wale brokers wanaoprovide Prepaid mastercard kwa clients wao kama walivokuwa wanafanya XM au wanavofanya sasa hivi HotForex. Broker anakupa kadi yake ambayo inakuwa linked moja kwa moja na Trading account yako. So unaweza kutoa hela muda wowote ukijisikia, ni suala tu la kunyanyuka na kwenda ATM machine iliyo karibu na ww yenye nembo ya Mastercard. Hiyo kitu unatoa hela instant.

Ushauri wangu, penda kujifunza mkuu
 
HIVYO TUSIPENDE KULAUMU WATU WANAOTUONYESHA FURSA KWA UZEMBE WETU WENYEWE!

Approach aliyoitumia haikuwa sawa, na wengi imewaumiza. Thanks God nililijua hilo mapema sana na nikaamua kusepa
 

Trading is all about psychology, na hapa ndio watu wengi walipofeli........... Hakuna uchawi mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…