Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #41
Hahahah sijawaona hadi sasaivi humuKwan johnthebaptist pamoja na Pascal Mayalla wanasemaje
Role mode wetu mkuuHChina yupi??? Huyu aliyeshindwa hata kufufua kiwanda cha Urafiki???
Na hili ndo ninaloliona muda si mrefu!Ni bora tukateseka kwa shida ya kunyimwa misaada na kutengwa na dunia tupate akili ya kutafuta haki na demokrasia ya kweli kuliko kunyenyekea ujinga na kutawaliwa na tusiowataka kisa ni ubabe na mabavu ya kutumia jeshi linalolipwa na kodi zetu.
Ukiona wa kwanza,ujue wamwisho yupo pia mkuu,Pita hata pale mtaa wa Agrey kkoo,utakuta ombaomba kwa Bakharesa leo ijumaaBado mko mkiani ndio maana bado mnapewa misaada hata ya kondom
Nikimwangalia mtawala wetu pamoja na Ndugai naona giza kubwa mbele yetuNi bora tukateseka kwa shida ya kunyimwa misaada na kutengwa na dunia tupate akili ya kutafuta haki na demokrasia ya kweli kuliko kunyenyekea ujinga na kutawaliwa na tusiowataka kisa ni ubabe na mabavu ya kutumia jeshi linalolipwa na kodi zetu.
Hajui huyo Bashite kazi ya BaloziKwani siku zote walizokuwepo walikuwa waTz?
Umemsikia Gwajiboy lkn leo? Vision ya Presidaa ni moto wa kuotea mbali,mabeberu lazima wachanganyikiwe.Huyu babu ametuharibia nchi kabisa
Ni kweli waafrika ni rahisi kununulika, na ni warafi wa Rasilimali, Ethiopia wanapigana kwa upuuzi kama huoTatizo mkiachwa wenyewe waafrika ni kuuana tu
Sio Afrika tu, hata Ulaya na Marekani siku muhimu Kama hii mabalozi wote lazima wawepo.Kwa mentality hizi Africa tutabaki mkianiani tu.......
Mkuu hao mawaziri walioteuliwa ni akina nani
Nitakuja Dar weekend hii kununua jeans za kutosha mkuu. Tunakoelekea lazima wajinga wote waamke dadekiTununue kabisa jeans za kuvaa huenda muda si mrefu tukaanza kuweka viraka
Wacha waamue, walishawahi.kuzuia pesa za umeme lakini umeme umeeda mpaka vijijini na karibia vijiji vinaisha sasa unaogopa nini?Kweli wazungu watakuwa wameamua mwaka huu!
China inaitegemea Marekani na nchi za Ulaya kibiasharaTutashirikiana na China mkuu