Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #101
Payuka tu, kesho Kabudi anaanza ruti za kwenda huko kuomba misaada.
Nina Cheka lakini tutajuta mabeberu yatakapo pandisha mzuka!Yajayo yanafurahisha
Hayo ndio mambo yamelichelewesha bara la Africa kijiamlia mambo yake na kujitegemea!!
Misaada misaada, hata kwangu binafsi siitaki, kubebwa bebwa kumelifanya hata soka letu liwe la hovyo hovyo, tunakuwa na timu nzuri ndani Tu kwa sababu ya kubebwa bebwa tu!
Tanzania bila hao, inawezekana bhana, Isipokuwa, Tanzania bila Mungu, haiwezekani
Nacheka ila naogopa πππNina Cheka lakini tutajuta mabeberu yatakapo pandisha mzuka!
Hao ndio watetezi wa wanyonge wasiokubaliana na udhalimu uliofanywa na magufuli kwenye box la kura
Sawasawa wakati ni jibuUtasubiri sana na hio popcorn yako hutapata chochote.
Fanya mambo yako tu.
#PoleniUpinzani
#LoserLissu
Sasa kama kila kitu kina/kimefanyika kwa fedha za ndani ,huoni uwepo wao ulikuwa haina maana?Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Akili iliyoganda. Pole sana mkuu.Kwani hao wazungu mnaowasifu na kuwasujudu kila siku humu ndani jf ni akina nani hapa duniani. Msituchoshe hebu .
Kimbunga cha kokoto kinakujaNacheka ila naogopa πππ
Hamchoki.Sawasawa wakati ni jibu
Unajua kuelewa? Au ukisoma ndo unaongeza Ujinga?Kwani hapo ulipo haubebwi???
Hujitambui wewe na familia yako! Hatuko huru wakati upo Nyuma ya keyboard una type hapa kuiponda serikali! Unaujua Uhuru wewe ni uhuru upi unaozungumzia? Temechoka na hoja zenu hizi mfu kila kukicha! Uchaguzi umeshakwisha sasa tunajenga Nchi!.Kweli,sisi ni nchi huru,yenye uchumi wa kati..
Yenye kuiba kura wakati wa Uchaguzi,yenye kuonea watu wake,kuwanyima Uhuru wa kuamua ...NK
Mkuu,bado hatuko huru,bado hatujitambui, bado hatujaweza kujitawala..
Unajua kuelewa? Au ukisoma ndo unaongeza Ujinga?
Kwani hapo nyuma ya keyboard yake ametumia actual id?Hujitambui wewe na familia yako! Hatuko huru wakati upo Nyuma ya keyboard una type hapa kuiponda serikali! Unaujua Uhuru wewe ni uhuru upi unaozungumzia? Temechoka na hoja zenu hizi mfu kila kukicha! Uchaguzi umeshakwisha sasa tunajenga Nchi!.
Aliyeniuliza simuoni, ndio wewe?Jibu swali uliloulizwa