Kutokuwepo kwa umeme kila siku asubuhi na jioni mpaka usiku, tatizo ni nini?

Kutokuwepo kwa umeme kila siku asubuhi na jioni mpaka usiku, tatizo ni nini?

Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa?

Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora na Mara. Yanaoendelea katika maeneo haya kuhusiana na nishati ya umeme ni maafa, upuuzi na kioja kikubwa. Sijui hali ipoje kwenye mikoa mingine. Ni kama nchi haina huduma ya umeme.

Karibia kila siku, kuanzia saa 2.30 hivi asubuhi umeme unakatika. Unaweza kurudi muda wa mchana au jioni, na ifikapo kwenye saa mbili usiku unakatika tena, kurudi ni usiku wa manane.

Nimewahi kusafiri siku za karibuni, kuanzia mwezi July mwakajana nchini Burundi, Rwanda, Msumbiji, South Africa, Zambia, Ghana na Mali, kwa nchi za Afrika. Katika nchi hizo, hakuna hata siku moja nilishuhudia umeme unakatika.

Katika tekinolojia rahisi kabisa Duniani, ni pamoja na uzalishaji wa umeme. Usafirishaji na Usambazaji wa umeme, hata huwezi kusema ni tekinolojia, ni kazi tu ya kawaida ya kuunganisha wire, ku=stepdown umeme mkubwa na kuwaunganishia wateja.

Hata umeme tu tunashindwa!! Hivi nchi hii ni kitu gani tutaweza? Biashara ya mabenki tumeshindwa, viwanda tumeshindwa, simu tulishindwa, kilimo tumeshindwa, demokrasia tumeshindwa, kuheshimu haki za binadamu na utawala bora tumeshindwa, kujenga uchumi mzuri tumeshindwa, kutengeneza ajira tumeshindwa, Sayansi ya tiba tumeshindwa. Tumebakia kusifiana hata pale ambapo hakuna cha maana tulichofanikiwa, na watu kupeana degree za udaktari wakati hao watu upeo na ujuzi wao katika fani wanazopewa shahada, wengi wao ni chini hata ya mtu mwenye certificate huko kwenye mataifa yaliyoendelea.

Kati ya mashirika yaliyojaza watu wenye uwezo duni kabisa na ufanisi zero ni TANESCO. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kujenga hata njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 50. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kutengeneza mradi wa umeme wa maji kwa kwaajili ya matumizi ya kijiji kimoja. Huko ndiko kuna watu ambao hata reasoning ya kawaida, hawana. Wanaweza kukuambia hakuna nguzo, mteja anunue nguzo, agharamie wire na kila kitu, akishagharamia wanasema kila kitu ni cha TANESCO, halafu wanaunganishia wateja wengine kuanzia pale bila hata ya angalao kumrudishia gharama yule mteja wa mwanzo aliyeufikisha umeme mahali hapo. Na hapo kuna waziri, kuna mkurugenzi na maafisa mauzo, na wote wanajiona ni wazima, wana akili timamu na wana uelewa juu ya misingi ya kibiashara.

Wahandisi majina, uwezo sifuri wamejaa TANESCO. Nakumbuka kuna wakati kulikuwa na mradi wa umeme wa kijiji kwa ufadhili wa Kanisa katoliki, fedha ikitoka kwa wafadhili wa parokia moja huko Ujerumani. Paroko wa kijiji hicho akaenda kuonana na Mkuu wa Mkoa kuomba kupatiwa mtaalam wa umeme wa kufanya tathmini ya mradi mzima ikiwa pamoja na kutafuta maporomoko ya mto. Mkuu wa mkoa alijigamba kuwa watapeleka mtaalam mhandisi ambaye ni the best kwenye mkoa. Mhandisi huyo alikwenda kijijini hapo, akakaa miezi miwili, alichokiandaa, kilipopelekwa Ujerumani kilionekana ni takataka, na Paroko yule anasema aliulizwa kama mara nne hivi kama kweli anaamini huyo aliyeandaa report ile alikuwa ni mhandisi. Ikabidi kule Ujerumani wamtume technician. Akaenda akaa kijijini hapo siku 10, alikuwa amemaliza kazi, na baadaye alienda kusimamia ujenzi wa mradi, mpaka leo umeme upo.

Kwa ujumla, taasisi nyingi za Serikali na mashirika ya umma, kuna wataalam majina, kikubwa wananchokijua ni kuandaa bajeti za posho, lakini kiutendaji ni zero. Ndiyo maana hakuna shirika lolote la umma au taasisi ya Serikali yenye ufanisi mzuri. Angalia, Serikali ilifeli kabisa kwenye mawasiliano ya simu wakati leo makampuni yameeneza huduma ya mawasiliano ya simu mpaka vitongojini. Serikali ilishindwa kabisa kuzalisha hata bia, sigara, sabuni, sukari, n.k; makampuni yameeneza huduma na bidhaa kila mahali mpaka wateja kubembelezwa. Tulikuwa na kampuni ya ujenzi wa barabara ya MECO, mwaka mzima ikipewa kazi ilikuwa inaweza kujenga kilometer moja, na haitakamilika, na ikikamilika, basi baada ya mwezi mmoja mashimo yanaanza kutokea. Tulipoleta makampuni ya Japan, kama KAJIMA, ilikuwa mshangao mkubwa jinsi wajapan hao wanavyoweza kufanya kazi huku watendaji wakuu ni hawa hawa Watanzania lakini wasimamizi ni Wajapan.

Jambo moja lililo dhahiri kwenye makampuni haya yenye ufanisi, japo watendaji wakuu ni watanzania, uongozi wa juu kabisa ni wa watu wageni.

Hakuna nchi yoyote ambayo inaweza kupata maendeleo bila ya uwepo wa nishati. Ndiyo maana kati ya vigezo/vipimo vya maendeleo, kimojawapo ni wastani wa matumizi ya nishati kwa kila raia.

Bila kuiua TANESCO, tukawa na makampuni binafsi ya kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, kila siku itakuwa ni ngonjera za miaka yote, lakini hakutakuja kuwa na umeme wa uhakika. Watu waliomo kwenye mashirika yanayosimamuwa na Serikali, na Serikali yenyewe, hawana uwezo wa kufanikisha chochote. Huduma zote zinazoamua ustawi wa watu na uchumi, Serikali ijitoa kwa sababu imedhihirika wazi kuwa haina uwezo.

Kama tumeshindwa, ni afadhali hata hiyo TANESCO wapewe wageni ili angalao wananchi wawe na uhakika wa huduma.

Tunakoenda, ni aheri hata mawaziri wasiwe wabunge wala wanasiasa. Wateuliwe hata watu wa nje ambao wana uwezo. Kama hatutaki TANESCO kuibinafsisha, basi nafasi za juu za menejiment ya TANESCO zisiwe za uteuzi, zitangazwe kote Duniani, wenye uwezo waombe na waajiriwe kwa kupewa tasks zinazoeleweka. Waarabu walifanikisha kwa namna hiyo. Emirates airlines ilijengeka sana na kupanuka kuanzia miaka ya 2000 ambapo waarabu walimwajiri Mwingereza Tim Clark kuwa Airline Executive. Baadaye baada ya mifumo kujengeka na kuimarika, walianza kuwapunguza wageni, japo mpaka keo bado kuna wageni wengi ndani ya shirika.
Tatizo mabwawa hayana maji, hayajafanyiwa ukarabati toka mwaka 2015. Alisikika mtu mmoja ndani ya Nishati akinena kwa lugha ya kiswahili
 
Leo ndio siku watu makini wameamua kuwa makini.kuna majitu humu kazi yao ni kufurahia uhuru bila tafakuri.

Siasa za nchi hii wanasiasa na wafanyabiashara wameunda Cartel ya ktufilisi watanzania!

Wanasomesha Ulaya na kutuibia wakificha Ulaya hukohuoko!

Kinachoitwa mikopo kwa wingi ni Ubadhirifu wa fedha za wazumgu ..zinaletwa halafu zinarudi kwa mlamgo wa nyuma na kufichwa Ulaya.

Kinachosalia wanapewa watukuzaji ili wapige mapambio na zumari kuuhaadaa Umma kwamba zomeingia zilikotakiwa.

Lakini kiuhalisia washika rote wejipanga!

Yote hii ni kwa hisani ya chama cha mapinduzi
 
Nchi ina gesi, maporomoko ya maji, makaa ya mawe, jua, upepo na volcano hai lakini umeme bado ni anasa! Kweli kupata maendeleo inahitaji akili zaidi kuliko rasilimali za asili.
Umenena ukweli mtupu. Akili ndiyo rasilimali kubwa kuliko chochote.

Leo hii, nchi kama Switzerland, isiyo na ardhi ya kilimo, isiyo na madini, gas wala mafuta, ina maendeleo makubwa maradufu ya Afrika kwa sababu ya akili, siyo rasilimali asilia.
 
Mkuu sema kweli,kumuona Rais milioni 200 mpaka 400 !!!
Ndiyo maana jamaa wapo tayari Watanzania wafe Ili wao watajirike!
Amini ninachokuambia. Lakini siyo standard figure. Mtu anaambiwa kiwango kutegemeana na wanavyomwona na tatizo analotaka asaidiwe.
 
Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa?

Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora na Mara. Yanaoendelea katika maeneo haya kuhusiana na nishati ya umeme ni maafa, upuuzi na kioja kikubwa. Sijui hali ipoje kwenye mikoa mingine. Ni kama nchi haina huduma ya umeme.

Karibia kila siku, kuanzia saa 2.30 hivi asubuhi umeme unakatika. Unaweza kurudi muda wa mchana au jioni, na ifikapo kwenye saa mbili usiku unakatika tena, kurudi ni usiku wa manane.

Nimewahi kusafiri siku za karibuni, kuanzia mwezi July mwakajana nchini Burundi, Rwanda, Msumbiji, South Africa, Zambia, Ghana na Mali, kwa nchi za Afrika. Katika nchi hizo, hakuna hata siku moja nilishuhudia umeme unakatika.

Katika tekinolojia rahisi kabisa Duniani, ni pamoja na uzalishaji wa umeme. Usafirishaji na Usambazaji wa umeme, hata huwezi kusema ni tekinolojia, ni kazi tu ya kawaida ya kuunganisha wire, ku=stepdown umeme mkubwa na kuwaunganishia wateja.

Hata umeme tu tunashindwa!! Hivi nchi hii ni kitu gani tutaweza? Biashara ya mabenki tumeshindwa, viwanda tumeshindwa, simu tulishindwa, kilimo tumeshindwa, demokrasia tumeshindwa, kuheshimu haki za binadamu na utawala bora tumeshindwa, kujenga uchumi mzuri tumeshindwa, kutengeneza ajira tumeshindwa, Sayansi ya tiba tumeshindwa. Tumebakia kusifiana hata pale ambapo hakuna cha maana tulichofanikiwa, na watu kupeana degree za udaktari wakati hao watu upeo na ujuzi wao katika fani wanazopewa shahada, wengi wao ni chini hata ya mtu mwenye certificate huko kwenye mataifa yaliyoendelea.

Kati ya mashirika yaliyojaza watu wenye uwezo duni kabisa na ufanisi zero ni TANESCO. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kujenga hata njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 50. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kutengeneza mradi wa umeme wa maji kwa kwaajili ya matumizi ya kijiji kimoja. Huko ndiko kuna watu ambao hata reasoning ya kawaida, hawana. Wanaweza kukuambia hakuna nguzo, mteja anunue nguzo, agharamie wire na kila kitu, akishagharamia wanasema kila kitu ni cha TANESCO, halafu wanaunganishia wateja wengine kuanzia pale bila hata ya angalao kumrudishia gharama yule mteja wa mwanzo aliyeufikisha umeme mahali hapo. Na hapo kuna waziri, kuna mkurugenzi na maafisa mauzo, na wote wanajiona ni wazima, wana akili timamu na wana uelewa juu ya misingi ya kibiashara.

Wahandisi majina, uwezo sifuri wamejaa TANESCO. Nakumbuka kuna wakati kulikuwa na mradi wa umeme wa kijiji kwa ufadhili wa Kanisa katoliki, fedha ikitoka kwa wafadhili wa parokia moja huko Ujerumani. Paroko wa kijiji hicho akaenda kuonana na Mkuu wa Mkoa kuomba kupatiwa mtaalam wa umeme wa kufanya tathmini ya mradi mzima ikiwa pamoja na kutafuta maporomoko ya mto. Mkuu wa mkoa alijigamba kuwa watapeleka mtaalam mhandisi ambaye ni the best kwenye mkoa. Mhandisi huyo alikwenda kijijini hapo, akakaa miezi miwili, alichokiandaa, kilipopelekwa Ujerumani kilionekana ni takataka, na Paroko yule anasema aliulizwa kama mara nne hivi kama kweli anaamini huyo aliyeandaa report ile alikuwa ni mhandisi. Ikabidi kule Ujerumani wamtume technician. Akaenda akaa kijijini hapo siku 10, alikuwa amemaliza kazi, na baadaye alienda kusimamia ujenzi wa mradi, mpaka leo umeme upo.

Kwa ujumla, taasisi nyingi za Serikali na mashirika ya umma, kuna wataalam majina, kikubwa wananchokijua ni kuandaa bajeti za posho, lakini kiutendaji ni zero. Ndiyo maana hakuna shirika lolote la umma au taasisi ya Serikali yenye ufanisi mzuri. Angalia, Serikali ilifeli kabisa kwenye mawasiliano ya simu wakati leo makampuni yameeneza huduma ya mawasiliano ya simu mpaka vitongojini. Serikali ilishindwa kabisa kuzalisha hata bia, sigara, sabuni, sukari, n.k; makampuni yameeneza huduma na bidhaa kila mahali mpaka wateja kubembelezwa. Tulikuwa na kampuni ya ujenzi wa barabara ya MECO, mwaka mzima ikipewa kazi ilikuwa inaweza kujenga kilometer moja, na haitakamilika, na ikikamilika, basi baada ya mwezi mmoja mashimo yanaanza kutokea. Tulipoleta makampuni ya Japan, kama KAJIMA, ilikuwa mshangao mkubwa jinsi wajapan hao wanavyoweza kufanya kazi huku watendaji wakuu ni hawa hawa Watanzania lakini wasimamizi ni Wajapan.

Jambo moja lililo dhahiri kwenye makampuni haya yenye ufanisi, japo watendaji wakuu ni watanzania, uongozi wa juu kabisa ni wa watu wageni.

Hakuna nchi yoyote ambayo inaweza kupata maendeleo bila ya uwepo wa nishati. Ndiyo maana kati ya vigezo/vipimo vya maendeleo, kimojawapo ni wastani wa matumizi ya nishati kwa kila raia.

Bila kuiua TANESCO, tukawa na makampuni binafsi ya kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, kila siku itakuwa ni ngonjera za miaka yote, lakini hakutakuja kuwa na umeme wa uhakika. Watu waliomo kwenye mashirika yanayosimamuwa na Serikali, na Serikali yenyewe, hawana uwezo wa kufanikisha chochote. Huduma zote zinazoamua ustawi wa watu na uchumi, Serikali ijitoa kwa sababu imedhihirika wazi kuwa haina uwezo.

Kama tumeshindwa, ni afadhali hata hiyo TANESCO wapewe wageni ili angalao wananchi wawe na uhakika wa huduma.

Tunakoenda, ni aheri hata mawaziri wasiwe wabunge wala wanasiasa. Wateuliwe hata watu wa nje ambao wana uwezo. Kama hatutaki TANESCO kuibinafsisha, basi nafasi za juu za menejiment ya TANESCO zisiwe za uteuzi, zitangazwe kote Duniani, wenye uwezo waombe na waajiriwe kwa kupewa tasks zinazoeleweka. Waarabu walifanikisha kwa namna hiyo. Emirates airlines ilijengeka sana na kupanuka kuanzia miaka ya 2000 ambapo waarabu walimwajiri Mwingereza Tim Clark kuwa Airline Executive. Baadaye baada ya mifumo kujengeka na kuimarika, walianza kuwapunguza wageni, japo mpaka keo bado kuna wageni wengi ndani ya shirika.
Na wewe unalalamika?

PATHETIC [emoji817]
 
Leo ndio siku watu makini wameamua kuwa makini.kuna majitu humu kazi yao ni kufurahia uhuru bila tafakuri.

Siasa za nchi hii wanasiasa na wafanyabiashara wameunda Cartel ya ktufilisi watanzania!

Wanasomesha Ulaya na kutuibia wakificha Ulaya hukohuoko!

Kinachoitwa mikopo kwa wingi ni Ubadhirifu wa fedha za wazumgu ..zinaletwa halafu zinarudi kwa mlamgo wa nyuma na kufichwa Ulaya.

Kinachosalia wanapewa watukuzaji ili wapige mapambio na zumari kuuhaadaa Umma kwamba zomeingia zilikotakiwa.

Lakini kiuhalisia washika rote wejipanga!
Ukweli mchungu
 
Haya mambo yapo kweli? Ndiyo nasoma leo. Aisei! Kumuona Mhe. Rais milioni 200? Huyo anayetoa milioni 200 ana biashara gani kuilipa hiyo pesa na kumpa faida kwa kumuona Mhe. Rais? Kama ni mwekezaji taasisi nyingine si zipo? [emoji120][emoji120][emoji120]

Huku kwa mtu mmoja mmoja kuna matatizo yetu, lakini huko kwa wawekezaji ni balaa. Watendaji wa Serikali, ukisikia tu wanaenda kukagua mahali, kilichopo vichwani mwao, ni kiasi gani cha pesa wataenda kupata. Sasa mwekezaji huyo akiamini kwamba ametimiza kila kitu, wakaguzi wakaondoka bila kitu, kitakachotokea ni kuwekewa vikwazo kila mahali.

Fikiria kuwa, huenda umekwishawekeza bilioni 50 au 100. Na hawa watu wanaotengeneza mazingira ya rushwa ni watu wanaokuwa karibu sana na Mawaziri. Mwekezaji atakapoenda kwa Waziri, hapati msaada wowote kwa sababu yanayokuwa yanaendelea ama Waziri anayafahamu ama naye alistahili kuwa mfaidika wa hizo pesa zilizokuwa zinatafutwa toka kwa mwekezaji. Ikishafika hapo, mwekezaji anakuwa hana namna nyingine zaidi ya kutaka kukutana na Rais. Hapo tena anakutana na kizingiti kingine kutoka kwa hao wanaamua nani akutane na Rais.

Kwa ujumla ni hali iliyozoeleka, Mawaziri kuona wawekezaji waliopo chini ya Wizara zao, wanalazimika kuwapa pesa kwa matumizi yao binafsi kila wanapohitaji. Mwekezaji asipotoa, tayari amejiwekea mazingira magumu ya kitega uchumi chake.
 
Tatizo la kukatika umeme mara kwa mara hapa kwetu sababu zipo ambazo wataalam watawala na watawala wanasiasa uzitoa kama vile ni fashion. Ili tuondokane na tatizo ili si mara ya kwanza ni/tunatoa suluhu kabisa. Kuna mashirika ya umma ambayo yanabidi yawe yanajitegemea n kabisa na viongozi wake wawe ni watu wanao omba kazi na kupitishwa na jopo maalum nasio aya aya ya kuteuana kwa kujua na uanasiasa.
Wazari tulie nae awajibiki, wataalam na viongozi wa shirika ni wanasiasa ambao awawajibiki kwa wanasiasa wenzao.
TUPO GIZANI SI KWA KUPENDA BALI KWA KUTAKA
 
Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa?

Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora na Mara. Yanaoendelea katika maeneo haya kuhusiana na nishati ya umeme ni maafa, upuuzi na kioja kikubwa. Sijui hali ipoje kwenye mikoa mingine. Ni kama nchi haina huduma ya umeme.

Karibia kila siku, kuanzia saa 2.30 hivi asubuhi umeme unakatika. Unaweza kurudi muda wa mchana au jioni, na ifikapo kwenye saa mbili usiku unakatika tena, kurudi ni usiku wa manane.

Nimewahi kusafiri siku za karibuni, kuanzia mwezi July mwakajana nchini Burundi, Rwanda, Msumbiji, South Africa, Zambia, Ghana na Mali, kwa nchi za Afrika. Katika nchi hizo, hakuna hata siku moja nilishuhudia umeme unakatika.

Katika tekinolojia rahisi kabisa Duniani, ni pamoja na uzalishaji wa umeme. Usafirishaji na Usambazaji wa umeme, hata huwezi kusema ni tekinolojia, ni kazi tu ya kawaida ya kuunganisha wire, ku=stepdown umeme mkubwa na kuwaunganishia wateja.

Hata umeme tu tunashindwa!! Hivi nchi hii ni kitu gani tutaweza? Biashara ya mabenki tumeshindwa, viwanda tumeshindwa, simu tulishindwa, kilimo tumeshindwa, demokrasia tumeshindwa, kuheshimu haki za binadamu na utawala bora tumeshindwa, kujenga uchumi mzuri tumeshindwa, kutengeneza ajira tumeshindwa, Sayansi ya tiba tumeshindwa. Tumebakia kusifiana hata pale ambapo hakuna cha maana tulichofanikiwa, na watu kupeana degree za udaktari wakati hao watu upeo na ujuzi wao katika fani wanazopewa shahada, wengi wao ni chini hata ya mtu mwenye certificate huko kwenye mataifa yaliyoendelea.

Kati ya mashirika yaliyojaza watu wenye uwezo duni kabisa na ufanisi zero ni TANESCO. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kujenga hata njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 50. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kutengeneza mradi wa umeme wa maji kwa kwaajili ya matumizi ya kijiji kimoja. Huko ndiko kuna watu ambao hata reasoning ya kawaida, hawana. Wanaweza kukuambia hakuna nguzo, mteja anunue nguzo, agharamie wire na kila kitu, akishagharamia wanasema kila kitu ni cha TANESCO, halafu wanaunganishia wateja wengine kuanzia pale bila hata ya angalao kumrudishia gharama yule mteja wa mwanzo aliyeufikisha umeme mahali hapo. Na hapo kuna waziri, kuna mkurugenzi na maafisa mauzo, na wote wanajiona ni wazima, wana akili timamu na wana uelewa juu ya misingi ya kibiashara.

Wahandisi majina, uwezo sifuri wamejaa TANESCO. Nakumbuka kuna wakati kulikuwa na mradi wa umeme wa kijiji kwa ufadhili wa Kanisa katoliki, fedha ikitoka kwa wafadhili wa parokia moja huko Ujerumani. Paroko wa kijiji hicho akaenda kuonana na Mkuu wa Mkoa kuomba kupatiwa mtaalam wa umeme wa kufanya tathmini ya mradi mzima ikiwa pamoja na kutafuta maporomoko ya mto. Mkuu wa mkoa alijigamba kuwa watapeleka mtaalam mhandisi ambaye ni the best kwenye mkoa. Mhandisi huyo alikwenda kijijini hapo, akakaa miezi miwili, alichokiandaa, kilipopelekwa Ujerumani kilionekana ni takataka, na Paroko yule anasema aliulizwa kama mara nne hivi kama kweli anaamini huyo aliyeandaa report ile alikuwa ni mhandisi. Ikabidi kule Ujerumani wamtume technician. Akaenda akaa kijijini hapo siku 10, alikuwa amemaliza kazi, na baadaye alienda kusimamia ujenzi wa mradi, mpaka leo umeme upo.

Kwa ujumla, taasisi nyingi za Serikali na mashirika ya umma, kuna wataalam majina, kikubwa wananchokijua ni kuandaa bajeti za posho, lakini kiutendaji ni zero. Ndiyo maana hakuna shirika lolote la umma au taasisi ya Serikali yenye ufanisi mzuri. Angalia, Serikali ilifeli kabisa kwenye mawasiliano ya simu wakati leo makampuni yameeneza huduma ya mawasiliano ya simu mpaka vitongojini. Serikali ilishindwa kabisa kuzalisha hata bia, sigara, sabuni, sukari, n.k; makampuni yameeneza huduma na bidhaa kila mahali mpaka wateja kubembelezwa. Tulikuwa na kampuni ya ujenzi wa barabara ya MECO, mwaka mzima ikipewa kazi ilikuwa inaweza kujenga kilometer moja, na haitakamilika, na ikikamilika, basi baada ya mwezi mmoja mashimo yanaanza kutokea. Tulipoleta makampuni ya Japan, kama KAJIMA, ilikuwa mshangao mkubwa jinsi wajapan hao wanavyoweza kufanya kazi huku watendaji wakuu ni hawa hawa Watanzania lakini wasimamizi ni Wajapan.

Jambo moja lililo dhahiri kwenye makampuni haya yenye ufanisi, japo watendaji wakuu ni watanzania, uongozi wa juu kabisa ni wa watu wageni.

Hakuna nchi yoyote ambayo inaweza kupata maendeleo bila ya uwepo wa nishati. Ndiyo maana kati ya vigezo/vipimo vya maendeleo, kimojawapo ni wastani wa matumizi ya nishati kwa kila raia.

Bila kuiua TANESCO, tukawa na makampuni binafsi ya kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, kila siku itakuwa ni ngonjera za miaka yote, lakini hakutakuja kuwa na umeme wa uhakika. Watu waliomo kwenye mashirika yanayosimamuwa na Serikali, na Serikali yenyewe, hawana uwezo wa kufanikisha chochote. Huduma zote zinazoamua ustawi wa watu na uchumi, Serikali ijitoa kwa sababu imedhihirika wazi kuwa haina uwezo.

Kama tumeshindwa, ni afadhali hata hiyo TANESCO wapewe wageni ili angalao wananchi wawe na uhakika wa huduma.

Tunakoenda, ni aheri hata mawaziri wasiwe wabunge wala wanasiasa. Wateuliwe hata watu wa nje ambao wana uwezo. Kama hatutaki TANESCO kuibinafsisha, basi nafasi za juu za menejiment ya TANESCO zisiwe za uteuzi, zitangazwe kote Duniani, wenye uwezo waombe na waajiriwe kwa kupewa tasks zinazoeleweka. Waarabu walifanikisha kwa namna hiyo. Emirates airlines ilijengeka sana na kupanuka kuanzia miaka ya 2000 ambapo waarabu walimwajiri Mwingereza Tim Clark kuwa Airline Executive. Baadaye baada ya mifumo kujengeka na kuimarika, walianza kuwapunguza wageni, japo mpaka keo bado kuna wageni wengi ndani ya shirika.
Makamba
 
Huku kwa mtu mmoja mmoja kuna matatizo yetu, lakini huko kwa wawekezaji ni balaa. Watendaji wa Serikali, ukisikia tu wanaenda kukagua mahali, kilichopo vichwani mwao, ni kiasi gani cha pesa wataenda kupata. Sasa mwekezaji huyo akiamini kwamba ametimiza kila kitu, wakaguzi wakaondoka bila kitu, kitakachotokea ni kuwekewa vikwazo kila mahali.

Fikiria kuwa, huenda umekwishawekeza bilioni 50 au 100. Na hawa watu wanaotengeneza mazingira ya rushwa ni watu wanaokuwa karibu sana na Mawaziri. Mwekezaji atakapoenda kwa Waziri, hapati msaada wowote kwa sababu yanayokuwa yanaendelea ama Waziri anayafahamu ama naye alistahili kuwa mfaidika wa hizo pesa zilizokuwa zinatafutwa toka kwa mwekezaji. Ikishafika hapo, mwekezaji anakuwa hana namna nyingine zaidi ya kutaka kukutana na Rais. Hapo tena anakutana na kizingiti kingine kutoka kwa hao wanaamua nani akutane na Rais.

Kwa ujumla ni hali iliyozoeleka, Mawaziri kuona wawekezaji waliopo chini ya Wizara zao, wanalazimika kuwapa pesa kwa matumizi yao binafsi kila wanapohitaji. Mwekezaji asipotoa, tayari amejiwekea mazingira magumu ya kitega uchumi chake.
Aisei duh! Sikuwa nafahamu. Naomba pm. 🙏🙏🙏
 
Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa?

Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora na Mara. Yanaoendelea katika maeneo haya kuhusiana na nishati ya umeme ni maafa, upuuzi na kioja kikubwa. Sijui hali ipoje kwenye mikoa mingine. Ni kama nchi haina huduma ya umeme.

Karibia kila siku, kuanzia saa 2.30 hivi asubuhi umeme unakatika. Unaweza kurudi muda wa mchana au jioni, na ifikapo kwenye saa mbili usiku unakatika tena, kurudi ni usiku wa manane.

Nimewahi kusafiri siku za karibuni, kuanzia mwezi July mwakajana nchini Burundi, Rwanda, Msumbiji, South Africa, Zambia, Ghana na Mali, kwa nchi za Afrika. Katika nchi hizo, hakuna hata siku moja nilishuhudia umeme unakatika.

Katika tekinolojia rahisi kabisa Duniani, ni pamoja na uzalishaji wa umeme. Usafirishaji na Usambazaji wa umeme, hata huwezi kusema ni tekinolojia, ni kazi tu ya kawaida ya kuunganisha wire, ku=stepdown umeme mkubwa na kuwaunganishia wateja.

Hata umeme tu tunashindwa!! Hivi nchi hii ni kitu gani tutaweza? Biashara ya mabenki tumeshindwa, viwanda tumeshindwa, simu tulishindwa, kilimo tumeshindwa, demokrasia tumeshindwa, kuheshimu haki za binadamu na utawala bora tumeshindwa, kujenga uchumi mzuri tumeshindwa, kutengeneza ajira tumeshindwa, Sayansi ya tiba tumeshindwa. Tumebakia kusifiana hata pale ambapo hakuna cha maana tulichofanikiwa, na watu kupeana degree za udaktari wakati hao watu upeo na ujuzi wao katika fani wanazopewa shahada, wengi wao ni chini hata ya mtu mwenye certificate huko kwenye mataifa yaliyoendelea.

Kati ya mashirika yaliyojaza watu wenye uwezo duni kabisa na ufanisi zero ni TANESCO. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kujenga hata njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 50. Huko ndiko kuna wahandisi ambao hawawezi kutengeneza mradi wa umeme wa maji kwa kwaajili ya matumizi ya kijiji kimoja. Huko ndiko kuna watu ambao hata reasoning ya kawaida, hawana. Wanaweza kukuambia hakuna nguzo, mteja anunue nguzo, agharamie wire na kila kitu, akishagharamia wanasema kila kitu ni cha TANESCO, halafu wanaunganishia wateja wengine kuanzia pale bila hata ya angalao kumrudishia gharama yule mteja wa mwanzo aliyeufikisha umeme mahali hapo. Na hapo kuna waziri, kuna mkurugenzi na maafisa mauzo, na wote wanajiona ni wazima, wana akili timamu na wana uelewa juu ya misingi ya kibiashara.

Wahandisi majina, uwezo sifuri wamejaa TANESCO. Nakumbuka kuna wakati kulikuwa na mradi wa umeme wa kijiji kwa ufadhili wa Kanisa katoliki, fedha ikitoka kwa wafadhili wa parokia moja huko Ujerumani. Paroko wa kijiji hicho akaenda kuonana na Mkuu wa Mkoa kuomba kupatiwa mtaalam wa umeme wa kufanya tathmini ya mradi mzima ikiwa pamoja na kutafuta maporomoko ya mto. Mkuu wa mkoa alijigamba kuwa watapeleka mtaalam mhandisi ambaye ni the best kwenye mkoa. Mhandisi huyo alikwenda kijijini hapo, akakaa miezi miwili, alichokiandaa, kilipopelekwa Ujerumani kilionekana ni takataka, na Paroko yule anasema aliulizwa kama mara nne hivi kama kweli anaamini huyo aliyeandaa report ile alikuwa ni mhandisi. Ikabidi kule Ujerumani wamtume technician. Akaenda akaa kijijini hapo siku 10, alikuwa amemaliza kazi, na baadaye alienda kusimamia ujenzi wa mradi, mpaka leo umeme upo.

Kwa ujumla, taasisi nyingi za Serikali na mashirika ya umma, kuna wataalam majina, kikubwa wananchokijua ni kuandaa bajeti za posho, lakini kiutendaji ni zero. Ndiyo maana hakuna shirika lolote la umma au taasisi ya Serikali yenye ufanisi mzuri. Angalia, Serikali ilifeli kabisa kwenye mawasiliano ya simu wakati leo makampuni yameeneza huduma ya mawasiliano ya simu mpaka vitongojini. Serikali ilishindwa kabisa kuzalisha hata bia, sigara, sabuni, sukari, n.k; makampuni yameeneza huduma na bidhaa kila mahali mpaka wateja kubembelezwa. Tulikuwa na kampuni ya ujenzi wa barabara ya MECO, mwaka mzima ikipewa kazi ilikuwa inaweza kujenga kilometer moja, na haitakamilika, na ikikamilika, basi baada ya mwezi mmoja mashimo yanaanza kutokea. Tulipoleta makampuni ya Japan, kama KAJIMA, ilikuwa mshangao mkubwa jinsi wajapan hao wanavyoweza kufanya kazi huku watendaji wakuu ni hawa hawa Watanzania lakini wasimamizi ni Wajapan.

Jambo moja lililo dhahiri kwenye makampuni haya yenye ufanisi, japo watendaji wakuu ni watanzania, uongozi wa juu kabisa ni wa watu wageni.

Hakuna nchi yoyote ambayo inaweza kupata maendeleo bila ya uwepo wa nishati. Ndiyo maana kati ya vigezo/vipimo vya maendeleo, kimojawapo ni wastani wa matumizi ya nishati kwa kila raia.

Bila kuiua TANESCO, tukawa na makampuni binafsi ya kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, kila siku itakuwa ni ngonjera za miaka yote, lakini hakutakuja kuwa na umeme wa uhakika. Watu waliomo kwenye mashirika yanayosimamuwa na Serikali, na Serikali yenyewe, hawana uwezo wa kufanikisha chochote. Huduma zote zinazoamua ustawi wa watu na uchumi, Serikali ijitoa kwa sababu imedhihirika wazi kuwa haina uwezo.

Kama tumeshindwa, ni afadhali hata hiyo TANESCO wapewe wageni ili angalao wananchi wawe na uhakika wa huduma.

Tunakoenda, ni aheri hata mawaziri wasiwe wabunge wala wanasiasa. Wateuliwe hata watu wa nje ambao wana uwezo. Kama hatutaki TANESCO kuibinafsisha, basi nafasi za juu za menejiment ya TANESCO zisiwe za uteuzi, zitangazwe kote Duniani, wenye uwezo waombe na waajiriwe kwa kupewa tasks zinazoeleweka. Waarabu walifanikisha kwa namna hiyo. Emirates airlines ilijengeka sana na kupanuka kuanzia miaka ya 2000 ambapo waarabu walimwajiri Mwingereza Tim Clark kuwa Airline Executive. Baadaye baada ya mifumo kujengeka na kuimarika, walianza kuwapunguza wageni, japo mpaka keo bado kuna wageni wengi ndani ya shirika.
Umasikini, Umasikini, Umasikini... nchi ikiwa masikini tegemea yafuatayo...

Umeme kukatika....
Hii hutokana na kutokuwa na vyanzo vingi vya umeme kupelekea mgao, technology ya overhead husababisha umeme kukatika, nk.

Ajali za Barabarani....
Bajeti ya Barabarani nzuri na pana hakuna..

Wastani wa umri kuwa mdogo...
Kutokana na huduma za afya na aina ya vyakula basi maisha lazima yawe mafupi..

Wasomi wenye uwezo mdogo...
Leo hii mtu anamaliza Form Six bado hajui professionalism yake ni nini? Wakati wenzetu mtoto wa miaka 5 tayari wameanza kujua huyu anapenda nini na anajikita huko.

Kilimo Duni..

Mambo ni mengi sana...


Katiba
Katiba


Plus CCN
 
Ukweli ni kwamba kukosa watu wenye maono, uwezo, ubunifu na ujuzi unaotakiwa kwenye vitengo vya umma, ni laana kubwa na iliyo dhahiri, na inaliangamiza Taifa kwa speed kubwa.

Hata kazi ya bodaboda aliyoisema Lema ni laana, ukweli ni zao la laana ya kukosa uongozi ulio bora kila eneo la ofisi za Serikali, mashirika ya umma, na taasisi nyingi za Serikali.

Kikubwa kabisa tulichokikosa kama Taifa ni UONGOZI BORA. Na ukikosa uongozi bora, hata vile vitatu vilivyobakia vinakuwa havina msaada.
Eng Bams, your respect

rejea juzi juzi tu hapa ulikuja juu kumrukia JPM alivyokuwa “mshenzi”, yaani hukumung’unya maneno, sikutaka kukomenti kwa sababu ulikuwa biased sana, yaani JPM was nothing, more than evil. That was your word of wisdom by my conclusion.

Leo umekuja na hii, nimesoma sasa nasha huyu Great Thinker” kaandika hii thread, this is complete exoneration of Mr Magu the Great - to you.
Kila kitu ulichoandika kwenye ile topic hakuna evidence yoyote. Great thinks wanasema “no evidence no comment”.

John Myika amewahi kusema “Rais huyu (JK) anacheka cheka tu,“ that was real na umeona nchi ilivyokuwa 400 prisoners of drug trafficking in Hong Kong, nchi ilikuwa shamba la bibi

Huyu sasa karudia yale yale na nyie mna sema ati the best, are you kidding?

Hii thread umemsafisha sana JPM we need the best president Kwa Kiswahili tuahitaji Rais mkali siyo hawa wa kucheka Cheka ili mradi awaridhishe cronies,
Kwa uandishi wako wa leo ni kweli kabisa you need somebody like JPM

Sisemi kuwa alikuwa mzuri kote he was a dictator real dictator, lakini in the second term angebadirika. Hamna Rais ambaye amewahi kuwa mzuri hata kabla ya magufuli
 
Back
Top Bottom