Hapa hakuna kukwazana tunaambiana ukweli. Je hujui abortion ina madhara gani kiafya? Abortion can lead to numerous and serious medical complication like bleeding, uterine perforation, Infection, blood clot, Cardiac arrest, Sepsis, Respiratory arrest, Cervical tears, hemorrhage, fertility problem even death.
Je hujui sheria za kutoa mimba? Abortion is criminal offence regulated by penal code of Tanzania chapter 16, section 150-152. The performance of abortion is generally prohibited. Any person who, with intent to procure the miscarriage of women, whether she is pregnant or not, unlawfully uses any means upon her is subject to 14 year's imprisoment.
Raha ule peke yako matatizo utushirikishe, wakati unapunua ulitegemea nini? Je hukujua utapata mimba? Leo huyo mtoto uliye mtoa asiye na kosa lolote toka 2013 angekuwa na miaka mingapi? Mbona nyie wanawake mna roho mbaya namna hii? Mimi sikupi pole kwa maradhi ya kujitakia hiyo ni laana na kama ujapata mtoto kumbuka hutampata tena.
Nachukia sana watoa mimba, mnagawa vitumbua vyenu hovyohovyo mkipata mimba mnakmbilia kutoa. Nakumbuka Shangazi yangu akiwa binti alitoa mimba sana, kaingia kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto mume akamuacha mpaka Leo ana mvi hata mtoto wa kusingiziwa hana analia na kujuta. Jirekebisheni nyie wadogo zangu wa kike.