Lakini binti.....I will work on it lakini..cuz huwa natamani amwage haraka cuz ya maumivu nikimtel bby naumia anaacha but he says nna masharti bed[emoji17]
Kumbe ni uzinzi kama kawaida, uchumba gani wa kuvuana chupi? Ebu elezea nini maana ya uchumba. Nyie wanawake wa Siku hizi shida tupu.no.mchumba wng
asante kwa ushauri.ntaachaa aiseLakini binti.....
Hebu usiendekeze kuharibu mwili na afya yako kwa kutaka kumfurahisha mwanaume aiseeee......
Kwa taarifa yako sisi wanaume hatujawahi kutosheka, na tumekua na tabia ya kupenda kufanya visingizio kibao kwa kuangalia wapi udhaifu wako ulipo.
Jifundishe kujisimamia na hii itakufanya uheahimiwe na hao unao wait bby, maana mwisho wa siku bby akijua unampenda kupita kiasi anaweza tumia nafasi hiyo kuku fumua hata rinda kwakua atakua akijua hauwezi uka kataa.
mchumba haridhishwi dear jali afya yako kwanzano.mchumba wng
Ikishapita hataweza kusema tena atakuwa anasikilizia aendelee atazoea tu wengi wamepita hukoPole sana.
Kama ulivyosema kuhusu mto, inabidi ukae mkao ambao huumii.
It's your womb. Know your limits na ni vizuri akajua unayoyapitia. Akizidisha mwambie.
Japo hakuna matibabu kazidiwa na kitu kikubwa atakizoea mwache afurahie maumivu ni muda mfupiNenda hospitali na ueleze kila kitu bila kuficha upate matibabu.
The only thing u seem to know is black and white..so wewe ni mtakatifu? au wewe uliyowavua chupi wote umewaoa...nakubali Kusemwa kwa Makosa yng but don't judge meKumbe ni uzinzi kama kawaida, uchumba gani wa kuvuana chupi? Ebu elezea nini maana ya uchumba. Nyie wanawake wa Siku hizi shida tupu.
Pole sana, jaribu kutumia style isiyokuumiza na pia fuata ushauri wa mshana jrstyle zote but sanasana doggystyle and ndo inaniumiza adi niweke mto tumboni
Kumbe we muaji ? Na bado huko uraini na unataka msaada? Hilo tatizo lako limesabishwa na kutoa mimba sina imani kama ni tatizo jingine. Japo una matatizo lakin unalaana pumbavu.
Wewe ni kenge wa mayai, mpuuzi pekee ndiye atakayesapoti ujinga na uwendawazimu huu. Abortion is a public matter because the policy which permit it has profound and wide spread social effect. Abortion affect both men and women, beyond that, abortion is human issue, not a gender issues pumbavu. Every abortion kills an innocent human being, wote kwa pamoja we should stand against it.Toka lini Weye umekuwa muhukumu. Huyo dada nishujaa kuliko Watu wengi hapa JF pamoja Na weye.Je Weye unaweza andika hapa ukweli wako? Laana Na upumbavu unao Wewe.
Hujui Kama alibakwa? Au uhai wake ulikuwa hatarini Na hiyo mimba? Eti "sina Imani"
Eli iweje?
Ningee indelea Ila Katiba ya JF
mke wangu alikuwa hivyo kuna dawa alipewa hospital tatizo likapotea kabisa hadi leo,tukikwichi kwichi hakuna tena damu mwisho wa tendo hiyo dawa inaitwa "candistat"habari Zenu ndugu,.
kama kichwa cha habari kinavyojieleza...nimekuwa nikitokwa na damu ( siyo nyingi lakini) kila baada ya sex au katikati ya tendo..na ninakuwa nishamaliza period like a week or two weeks..
naomba msaada Kujua tatzo ni nn?
And also Nikiwa nafanya mapenzi kuna wakati naumia tumbo Mpaka nahsi kizazi kinatoka but nikiweka mto tumboni siskii maumivu..please help
Nimekuuliza nini maana ya uchumba je umenijibu? Uchumba wenu wa kuvuana chupi kila Siku huo ndio uchumba? Mwisho wa Siku mkipata mimba namnakimbilia kwenda kutoa, wew unaona raha sana kuelezea ujinga wako hapa! Je unakumbuka sababu iliyopelekea kutoa mimba 2013, mpaka leo kimebaki kidonda licha ya kuua? Je unajua Sababu ni hiyo hiyo ulivua chupi bila mpango na ukapata mimba bila kupanga ukatoitoa bila kufikiri? Je ukujua madhara ya kutoa mimba? Je unajua hapo ulipo wewe ni muaji wa kiumbe kisicho na hatia?The only thing u seem to know is black and white..so wewe ni mtakatifu? au wewe uliyowavua chupi wote umewaoa...nakubali Kusemwa kwa Makosa yng but don't judge me
huwa namtel naumia at least tufanye spooning ila yeye anakomaa na hyo cuz anaipenda sana