Kutokwa na damu baada ya kufanya mapenzi..

staki kuongelea hyo kitu...
 
nimetoa thread kuomba msaada kama huna msaada wotewote plz kaa pembeni..umengangania hyo mimba nilikosea ndiyo ila mazingira yaliyonipelekea kupata hyo mimba yananiumiza sana sitaki kuzungumzia Hilo swala.
 
nimetoa thread kuomba msaada kama huna msaada wotewote plz kaa pembeni..umengangania hyo mimba nilikosea ndiyo ila mazingira yaliyonipelekea kupata hyo mimba yananiumiza sana sitaki kuzungumzia Hilo swala.
mchumba ni mtu unayetegemea kufunga nae ndoa.that's the same here ndo maana nataka nitatue hili tatzo..but nishapata ushauri mzuri and I think wewe you should stay with your opinions
 
Post coital bleeding (kutokwa na dam baada tendo la ndoa),per vaginal discharge foul, lower abdornminal pain # indication cancer of cervix wahi medical mapema for further investgtion..
 
Cancer of cervix .. most feature ni post coital bleeding wahi medical for further evaluation
 
style zote but sanasana doggystyle and ndo inaniumiza adi niweke mto tumboni
Hizo style ni za wagumba waliotolewa vizazi..Mwambie jamaa mjaribu Paka Chongo, Nenda mwanakwenda..Akishindwa nitafute nikupe mfano then ukamuonyeshe[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wewe utakuwa unamuonea wivu katoa mimba..Toa basi na wewe acha hasira
Kaomba msaada wa mawazo sio matatizo ya shangazi yako
 
maskini pole mi mwanaume en i dont have any experience on that so try to see the specialist humu watakukatisha tamaa tu hawana wanachojua my dear take care

Wewe unamawazo hafifu sana,yani sababu wewe huna unalolijua unafikili members wote humu hamnazo kama wewe?
Sasa unamwambia amuone specialist,anayetibu nini na anapatikana wapi?ulishasema hujui kitu basi wapishe wenye ufahamu😀
 
nimetoa thread kuomba msaada kama huna msaada wotewote plz kaa pembeni..umengangania hyo mimba nilikosea ndiyo ila mazingira yaliyonipelekea kupata hyo mimba yananiumiza sana sitaki kuzungumzia Hilo swala.
Basi pole sana, Mungu akujalie uzima na afya tena, na usirudie kitendo hicho katika maisha yako yote. Amani ya bwana iwe pamoja nawe. Kikubwa zaidi kamuone daktari mwelezee kweli, naamini tiba itapatikana. Asante
 
Basi pole sana, Mungu akujalie uzima na afya tena, na usirudie kitendo hicho katika maisha yako yote. Amani ya bwana iwe pamoja nawe. Kikubwa zaidi kamuone daktari mwelezee kweli, naamini tiba itapatikana. Asante
Asante ..siwez toa tena
 

Kwahivyo unaficha ujinga wako Kwa KiswanGlishi chako.WEYE ni Kama Nani kumkemea mtoa mada? Mbona WEYE ni shoga Watu hawakukemei kwa Sababu ni maamuzi yako.
 
Tatizo la kutoka Damu wakati na baada ya tendo la ndoa mara nyingi inatokana na maambukizi kwenye Mlango wa kizazi au cervix Kwa kiitalamu inaitwa Cervicitis ambako kunakuwana michubuko ambayo wakati wa tendo inaanza kubleed unachotakiwa ni kufanyiwa uchunguzi kuthibitisha hilo na kupewa dawa, lkn pia kama umri wako ni mkubwa kdg unaweza ikawa dalili za mwanzo za saratani ya kizazi na hii nayo inahitaji uchunguzi kuthibitisha na utapata matibabu kulingana na majibu
 
mimi hyo style nilishaiaga zamani kwanza unaweza fumuliwa marinda buree??
fanya kifo cha mende tu hataki aache
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utaniua mkuu hapo kwenye kufumuliwa linda ...
 
Owh, so sorry, hilo tatizo linawapata wanawake mostly ambao washawahi kufanya abortion. Sometimes ni effects za dawa wanazotumia or method ilotumika kufanikisha hio abortion. Or else sometimes ni signs za cervical cancer or kuwa na vidonda kwenye uzazi. See the real doctor. In case uko Arusha, visit Selian hospital. A lady close to me had the same problems but the problem was resolved after she visited the above mentioned hospital.
 
Afadhali umepata ufumbuzi wa tatizo mpenzi wangu... Nikirudi toka matembezini leo tujaribu mikao mipya kama walivyoshauri wadau hapa.

Pia kesho nakuomba fika Hospital, nitafanya follow up kama utakuwa umefanyia kazi ushauri wa wadau hapa ndani.

Mwisho nawashukuru sana Wadau, ingawa hata mimi nina changamoto.. Tangu ninywe dawa za kuongeza size ya uume, machine imegoma kurudi hali ya kawaidia.
 
Kwahivyo unaficha ujinga wako Kwa KiswanGlishi chako.WEYE ni Kama Nani kumkemea mtoa mada? Mbona WEYE ni shoga Watu hawakukemei kwa Sababu ni maamuzi yako.
"Weye" ndio lugha gani bwana mdogo. Siwezi kubishana na toto lilozaliwa guest. Kajifunze lugha kisha uje uandike vizuri sawa kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…