Kutokwa na damu mfululizo baada ya kutoa mimba

Darlis2016

Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
81
Reaction score
26
Habari wakuu, mpenzi wangu alifanya abortion wiki mbili zilizopita lakini hadi leo anatokwa na damu, akijisafisha anatoa pia uchafu wa damu kama mabonge mabonge naomba msaada kwa hili.
 
Mkuu kama bado yanatoka mabonge mabonge ina maana process ya abortion inaendelea. Alitumia njia ipi?

Kama ni mistro alipaswa kutoka na madonge ya damu ndani ya siku mbili mpaka tatu za tangu alipoanza kutumia dawa.
 
Ndg nenda hosp acha kuchezea maisha yako . abortion ni kosa lakini haikuzui kwenda hospitalini. Tena wahi mapema. Yapo maswali mengi hapo kwanza mimba ilikua na umri gani, ulitumia njia gani kuitoa , baada ya kutoa ulitumia dawa gani..... Ni mimba yako ya kanza kutoa .... Je umeshawahi kuzaa ... Nakushauri wahi hosp
 
Alitumia njia ya vidonge alimeza na kupachika ukeni, alishazaa mtoto mmoja, alifanya hivo ikiwa Ijumaa halafu Jumapili akaanza kutumia ampclox na metronidazole kwa kufuata ushauri wa doctor.
 
Alitumia njia ya vidonge alimeza na kupachika ukeni, alishazaa mtoto mmoja, alifanya hivo ikiwa Ijumaa halafu Jumapili akaanza kutumia ampclox na metronidazole kwa kufuata ushauri wa doctor.
Dokta au mtu wa famasi? Njia hizi za kuweka juu na chini ni sio sahihi japo zinakamilisha lengo.
 
Kimbilia hospitali haraka sana Maana ataweza kufa na infection walahi
Kutoa mimba ni laana kuu, tegemea kichapo kutoka kwa MUUMBAJI SOON AND VERY SOON WALAHI
 
mimba ilikua na umri wa wiki moja au mbili, alitumia njia ya vidonge alimeza na kupachika ukeni , baada ya kutoa alitumia ampclox na metronidazole ..... Sijui kama alishawahi kutoa mimba au la .... Ndiyo ana mtoto mmoja.
 
Sasa kama hata uhakika wa ukubwa wa Mimba huna uhakika nao?
Utajuaje kama njia uliyotumia ilikuwa sahihi?

Itakupasa umpeleke hospital kumsafisha na kuchukua vipimo vya damu asije kupata infection itakayo mgharimu maishani mwake.

Next time muwe makini....
 
Kwenye hiyo pharmacy wanachukua hadi vipimo yaani watu wanatibiwa hapo na huyo aliyemuattend ndo doctor wa hapo.
Sio kila tatibu anatibu kwa kujali maisha ya mgonjwa....

Wengine wako ki maslahi zaidi, ukishawalipa kitakachoendelea ni juu yako....na hivi hakuna sheria iliyopitishwa(juu ya utoaji mimba zisizo na matatizo) huwezi kumshtaki mambo yakiharibika.
 
Hv mimba ya umri huo inaonekana kweli kwenye vipimo au mlihisi tu?
Nahisi wiki moja au mbili kutokana na mzunguko wake wa hedhi, kwa sababu tar aliyotakiwa kuanza mzunguko wake haikuwa hivi zikapita siku Tatu zaidi ndo akacheck akajikuta mjamzito ndo maana nasema Ilikuwa na wiki moja au mbili.
 
Kwenye hiyo pharmacy wanachukua hadi vipimo yaani watu wanatibiwa hapo na huyo aliyemuattend ndo doctor wa hapo.

Duh
Mnasikitisha sana
Kwa tendo mlilolifanya.. mkatubu

Mna mtoto halafu mnaua labda hamtaki mtoto mwingine.. ombea yapite salama au ndio imetoka hiyooo..

Nendeni hospitali FULL STOP
Ultra sound inahusu haswaaa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…