Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,054
- 3,263
Huyu Dr nae akili zake chenga, unamsaidiaje mwanamke atoe mimba.!!! Kwani hakujua baada ya sex kitakachotokea ni nini?Alitumia njia ya vidonge alimeza na kupachika ukeni, alishazaa mtoto mmoja, alifanya hivo ikiwa Ijumaa halafu Jumapili akaanza kutumia ampclox na metronidazole kwa kufuata ushauri wa doctor.