mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
Habari wakuu, mpenzi wangu alifanya abortion wiki mbili zilizopita lakini hadi leo anatokwa na damu, akijisafisha anatoa pia uchafu wa damu kama mabonge mabonge naomba msaada kwa hili.
Ila mkuu kwa nini mfanye hivyo? Una sababu za msingi? Kwani mpenzi wako uwezo wake wa kula ukoje? Kwa sababu usije ukatuletea kisingizio cha kulisha. Wewe unajishughulisha na nini? Na utafanya hivyo kwa wangapi??????.....Habari wakuu, mpenzi wangu alifanya abortion wiki mbili zilizopita lakini hadi leo anatokwa na damu, akijisafisha anatoa pia uchafu wa damu kama mabonge mabonge naomba msaada kwa hili.
Where we dare to talk openlyJamii forums
Mleta mada angalia mara 2 huu ushauri unakufaawahi bro..kabla ya hizo residue hazijakuwa infected..incase ikiwa infected itakuwa ni issue(psychologically) kwake, kwako na kwa familia coz ya procedure atakayofanyiwa..kituo cha afya wataku guide vizur if possible unaweza ukafanya ultrasound kabisa or ukienda kule watakuguide vizur BUT RUDI kwa uyo aliefanya abortion kwanza kama hajui anachofanya nenda kamuone DR.
Hapana.Mie nauliza jaman dawa za kuzuia mimba mf. Sindano na madawa ya uzazi wa mpango yanaruhusiwa kibiblia?
HahahahahahahahahahaBora na wewe mama yako angefanya abortion.Ingekuwa heri km usingezaliwa.
Kumbe Chaputa nao wauwaji?Kuna watu hapa mnatumia condom kila siku mnajua kama mnaua???
Wengine wapiga punyeto wakubwa hapa mnajua kama mnaua? .....mwelekezeni mpite kimya hii dhambi wengi inawahusu hapa
Ndio .....unajua kwa nini mungu aliamuru vikojoleo vigusanae na shahawa zimwagwe kule?Kumbe Chaputa nao wauwaji?
Hahahaahahahaha That is ISIS I know WalahiKimbilia hospitali haraka sana Maana ataweza kufa na infection walahi
Kutoa mimba ni laana kuu, tegemea kichapo kutoka kwa MUUMBAJI SOON AND VERY SOON WALAHI
Sie watumia mipira, kupizi nje, njiti,sindano tunajihesabia haki sana sie wasafi ila wengine wabaya sana, Muelekezeni ajue afanye nn kwa sasaKuna watu hapa mnatumia condom kila siku mnajua kama mnaua???
Wengine wapiga punyeto wakubwa hapa mnajua kama mnaua? .....mwelekezeni mpite kimya hii dhambi wengi inawahusu hapa
Kwahyo mkuu na wale wanaojipiga mabao usingizini ni wauaji pia??[emoji13] [emoji13]Ndio .....unajua kwa nini mungu aliamuru vikojoleo vigusanae na shahawa zimwagwe kule?
Dah ana bahati sana, wengine huwa wanakufaga. Binafsi siwezi kumshauri mtu aendelee kufanya abortion. Kama imeshindikana asuburi tu ajifungue mana amejitakia.Habari wakuu, mpenzi wangu alifanya abortion wiki mbili zilizopita lakini hadi leo anatokwa na damu, akijisafisha anatoa pia uchafu wa damu kama mabonge mabonge naomba msaada kwa hili.