Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Kwema ndugu zangu wana jf.
Niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu, nina tatizo la kutokwa na damu puani mpaka sasa limechukua takribani mwezi mmoja nimejaribu kutumia dawa za dukani lakini tatizo bado linanisumbua naombeni msaada wenu ndugu zang kwa msaada wenu zaid asanteni sana.
Niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu, nina tatizo la kutokwa na damu puani mpaka sasa limechukua takribani mwezi mmoja nimejaribu kutumia dawa za dukani lakini tatizo bado linanisumbua naombeni msaada wenu ndugu zang kwa msaada wenu zaid asanteni sana.