Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Poleni na majukumu madaktari, kuna mtu alipoenda chooni asubuhi alipata choo kilichoambatana na damu lakini choo ni kilaini na hili tatizö limemtokea leo sio la mara kwa mara, na yeye ana mazoea ya Kula mboga za majani na Matunda, je tatizo linaweza kuwa ni nini na madhara yake ni yepi?
 
Habari wadau!

Naombeni msaada kama kuna daktari, mimi leo nimeenda chooni ile najikamua kwa ajili ya kujisaidia haja kubwa, zilitoka damu pure ( yaani damu ambazo hazijachanganyika na kinyesi) lakini baadaye nilijitawadha then nilipopata choo wala hakikuchanganyika na damu sasa sijajua tatizo ni nini! Na pia nimejikagua wala sijachanika wala Tumbo haliumi.
 
Fuata ushauri wa Madame S hapo juu ili uangalie choo kitakachofuata kama kitakuwa na damu,jitahidi sana mbogamboga za majani kwa wingi na matunda,bila ya kusahau kunywa maji kiasi kwa wingi,kama kitaendelea kuwa na damu nenda hospitali ukachekiwe,usiogope wanacheki choo kwanza,huko kwengine ni baadae sana...
 
Alafu utakuta wengi wenye matatizo haya wapo maeneo ya kanda ya kaskazini hasa Kilimanjaro kwa sababu ya matumizi makubwa ya viwatilishi kwenye mashamba ya mboga na mazao mengine. Nisha tuone 2021 to 2022
 
Namie nahangaika jamani, nisaidieni.
Naona aibu kwenda kwa daktari, kujieleza. Anichungulie mkund.u
 
Na mie yamenikuta wadau nimepatwa na shida nlipata choo kigumu baada ya hapo nkienda choon napata maumivu makali sana japo nimeanza diet ya mboga mboga na matunda na maji mengi lakn naona bado hali n tete imefkia had choon napaogopa maan ukifka hapatoshi n maumivu makal wakat wa kunya na vinaambatana na damu japo sio nying sana ...maumivu hayo yanaendlea hata ukitoka choon baada ya nus saa shundu linaanza kuuma had so poa....msaada wenu wana jamvi
 
Elimu ya afya ni muhimu sana kuliko hata tiba
 
Alafu utakuta wengi wenye matatizo haya wapo maeneo ya kanda ya kaskazini hasa Kilimanjaro kwa sababu ya matumizi makubwa ya viwatilishi kwenye mashamba ya mboga na mazao mengine. Nisha tuone 2021 to 2022
Hili lina ukweli kiasi gani?
 
Nilifanya hivyo kwa bahati mbaya mwezi uliopita. Sikuwa na mazoea hayo basi kabla ya kuflash nikachungulia nikaona matone ya damu. Kuwahi kwa Doctor na checkup nikapata nina ulcers. Naendelea na tiba. Tuwe na tabia ya kukagua iamani.
Mkuu ulipona?
 
Back
Top Bottom